mbeya

  1. Sizinga

    JamiiForums Tanzania Dark Day: Ajali ya Mbeya na Mtwara

    Ajali ya Juzi Mbeya iliyohusisha bus kuwagonga wanafunzi waliokuwa wanakimbia barabarani imeondoa vijana wetu 6 na wengine majeruhi. Ajali hii imetokea alfajiri tarehe 26.07.2025 Ajali kama hii ilitokea Mtwara ilihusisha school Bus kuingia mtaroni na kusababisha wanafunzi 8 kufariki na mwalimu...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Ajali iliyoua watoto 5 huko Mbeya imenisikitisha sana; Lakini hebu tujadili mambo haya machache kiufundi kwa usalama wetu

    Kuna taarifa ya watoto waliokuwa wanafanya mazoezi ya kukimbia huko mbeya kugongwa na bus na kupelekea vifo; Sipo hapa kulaumu mtu yoyote bali naomba tuelimishane mambo machache tu ambayo mimi kama fundi samico naweza kuwapa kama fundi. Kwanza kabisa swali la kujiuliza kila mmoja, wale watoto...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi 6 wafariki kwa kugongwa na basi Mbeya

    Wanafunzi 6 wa shule ya Sekondari Chalangwa iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya, waliokuwa wakifanya mazoezi barabara kuu ya Chunya-Mbeya , wamefariki dunia kwa kugongwa na basi la Safina aina ya Yutong lenye namba za usajili T 194 DCE, linalofanya safari zake kutoka Lwalaje...
  4. Wakwetu03

    JamiiForums Tanzania Mbeya City Fc Yavuna Vipaji 68

    Mbeya City Fc
  5. Mwanongwa

    JamiiForums Tanzania KERO LATRA Mbeya simamieni changamoto ya Daladala kukatisha ruti

    Yaani Jiji la Mbeya kuna mambo ambayo siyo mazuri na tukikaa kimya yataendelea, mojawapo ni hili suala ninaloenda kulizungumza leo. Hivi LATRA Mbeya mmeshindwa kabisa kutatua hii kero ya Daladala kukatisha route? Yaani Daladala inatoka Uyole inaishia Kabwe, abiria wanapata shida huku wengine...
  6. The Librarian

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu yeyote amefanya interview ya Chuo Kikuu cha Sayansi naTeknolojia Mbeya (MUST)TUTORIAL ASSISTANT (HUMANRESOURCE MANAGEMENT) leo

    If any please let me know
  7. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania GE2025 Serikali yatoa zaidi ya Shilingi Bilioni 98 kuimarisha sekta ya elimu Mbeya na Mtwara

    Serikali imetoa zaidi ya Shilingi Bilioni 98.893 kwa ajili ya kuimarisha sekta ya elimu katika mkoa wa Mbeya na Mtwara. Fedha hizo zimetolewa kupitia Mradi wa kuboresha Ubora wa Elimu ya Sekondari-SEQUIP kwa ajili ya kukarabati shule kongwe, kujenga shule mpya, madarasa, nyumba za walimu, na...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Lumbesa inatuongezea umasikini Mbeya

    Sasa hivi Mbeya ni kama serikali iko likizo kwa jinsi wafanyabiashara wanavyopora wakulima mchana kweupe. Ukiangalia Lumbesa ya gunia la viazi huwezi kubisha kwamba mkulima hapati chochote. Yaani heka moja ungeweza kupata gunia za viazi 70 kwa sababu ya Lumbesa utaambulia gunia 52! Viongozi...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kuadimika kwa bia mkoani Mbeya

    Habari wakuu! Ni karibu mwezi wa pili sasa mfululizo, upatikanaji wa bia mkoani Mbeya umekuwa changamoto kubwa. Bia kama Bingwa, Safari, na Kilimanjaro zinapatikana kwa nadra sana. Wenzetu wa TBL Mbeya, tafadhali mtujulishe shida ni nini? Je, wenzetu wa mikoa mingine mnakumbana na changamoto...
  10. Mwanongwa

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Viongozi wa Bajaji Mbeya Jiji tuacheni na Abiria wetu tunajuana wenyewe

    Hivi ninyi viongozi wa Bajaji jiji la Mbeya mna matatizo gani? Sawa tumekubaliana kuwa madereva wote wa Bajaji tubebe Abiria Kwa nauli ya shilingi 800 kituo Hadi kituo,Sasa Kuna shida gani kama Abiria ameniomba Kwa shilingi 500. Maana mnatangaza kabisa eti mkitukamata tukiwa tunachukua nauli...
  11. Kant Ombe

    JamiiForums Tanzania Mbeya ambapo kuna wayahudi wengi weusi lakini cha ajabu redio za huko zinaongoza kwa vipindi vya waganga muda wa usiku

    Shalom shalom Nenda moja kwa moja Kwenye mada Kwamuda mrefu nimekua mkazi wa mbeya watu wa huku wengi wameshika dini sana ukiwaona kwa nje na hata kuongoza kuwa na manabii na mitume wengi kushinda hata Israel yenyewe taifa teule. Watu wa huku wengi ni wakristo karibu asilimia 99 mchana wako...
  12. Saguda47

    JamiiForums Tanzania Hali ya hewa ya Mbeya inakera sana

    Wakuu habari za muda huu? Mada yangu inajikita kwenye Hali ya hewa ya mkoa wa Mbeya hasa Rungwe na Mbeya mjini. Mkoa wa Mbeya kiufupi hauna kipindi Cha kilele Cha kumuacha mtu awe huru badala yake watu ni watumwa wa Hali ya hewa kuanzia January Hadi September kila mwaka. A. Kuanzia January...
  13. Mindyou

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwenyekiti BAVICHA Mbeya: Waliozuiwa wasifanye siasa CHADEMA ni watatu. Rungwe kaeni mkao wa kula tunakuja kufanya mikutano

    Wakuu, Akiwa anazungumza leo mkoani Mbeya, Mwenyekiti wa BAVICHA Mbeya Elisha Chonya amesema kwamba CHADEMA wana haki ya kuendelea na mikutano ya kisiasa kwani katazo la Mahakama halikuwalenga viongozi wote wa CHADEMA bali viongozi wachache. Akiwa anazungumza kwenye kikao chao mkoani Mbeya ...
  14. britanicca

    JamiiForums Tanzania Mkubwa kashtukia mchezo wa July - Sept, anawapukutisha Kama majani ya Kiangazi, bundi katua kwa taita

    Anawasifia mchana usiku anataka maini Yao Ila Israel mtoa roho! Naandika mimi sasa ✍🏻✍🏻✍🏻 Yeye Yule ambaye alitukanwa sana kwenye korido za Nyumba nyeupe mithiri ya Meli, pale kwenye Shombo, sasa akawa mwenyewe. Anafanya kulipiza kisasi kuanzia ameshika hatamu akamuwajibisha aliyeonya SIGARA...
  15. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Gari limeibiwa Mbeya

    Habari wanajamii . Naomba kutoa taarifa na kuomba msaada kwa yeyote atakaye liona gari husika anitaarifu. Gari Hilo limeibiwa jijini Mbeya na fundi makenika aitwaye Ibrahim Mwakyusa. Ameiba gari katika mazingira ya kulitengeneza. Mwizi wa gari ni Ibrahim Mwakyusa mwenye namba 0752895006...
  16. figganigga

    JamiiForums Tanzania Polisi Mbeya saidia, Wananchi wanataka kuanza kuchota mafuta na kuiba Betri

    Hii ajali iimetokea pipeline Mbeya. Sababu kubwa ni barabara ni nyembamba.. Sasa wananchi washaanza kusogea na madumu
  17. MSAGA SUMU

    JamiiForums Tanzania Pasco Mayalla kubadili upepo, aelekea Mbeya kuchukua fomu.

    Taarifa hii imenifikia asubuhi hii. MwanaJF mwenzetu Pasco Mayalla amechukizwa na ushindani mdogo wa kisiasa uliopo katika majimbo ya Dar es Salaam na ameamua kuelekea Mbeya kugombea ubunge. Ndugu Mayalla anatajwa kama moja ya wanasiasa nguli na mwenye maamuzi magumu kisiasa kama alivyo na...
  18. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa mkoa anaagizwa akalinde heshima ya Spika wa Bunge Mbeya? CDM waliona mbali make vipi wangekuwa ulingoni na haya yakatamkwa?

    Bado kuna wahuni humu wanataka Sugu aende ACT wazalendo na agombee Ubunge?
  19. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Patali S Patali achukua fomu kutia nia kuwania ubunge jimbo la Mbeya Vijijini

    Wakati mchakato wa kuchukua fomu Kwa ajili ya kugombea nafasi mbali mbali za uongozi katika ngazi ya Uraisi, ubunge na udiwani kwenye Uchaguzi unaotarajia kufanyika octoba mwaka huu, watu mbalimbali wamejitokeza katika zoezi Hilo lililoanza Leo June 28. Patali Shida Patali ambaye ni mjumbe wa...
  20. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Richard Kasesela achukua fomu ya Ubunge Rungwe, Mbeya

    Mjumbe wa NEC Richard Kasesela, amechukua fomu kuwania Ubunge Jimbo la Rungwe lililopo mkoani Mbeya, Jimbo hilo ambalo lilikokuwa linaongozwa na Mbunge aliyemaliza muda wake Anton Mwantona. Jimbo hilo linanyemelewa na Gwamaka Mwafwenga aliyekuwa Mkurugenzi wa NEMC, yupo pia Eliud Mwaiteleke na...
Back
Top Bottom