Wakati mchakato wa kuchukua fomu Kwa ajili ya kugombea nafasi mbali mbali za uongozi katika ngazi ya Uraisi, ubunge na udiwani kwenye Uchaguzi unaotarajia kufanyika octoba mwaka huu, watu mbalimbali wamejitokeza katika zoezi Hilo lililoanza Leo June 28.
Patali Shida Patali ambaye ni mjumbe wa...
Mjumbe wa NEC Richard Kasesela, amechukua fomu kuwania Ubunge Jimbo la Rungwe lililopo mkoani Mbeya, Jimbo hilo ambalo lilikokuwa linaongozwa na Mbunge aliyemaliza muda wake Anton Mwantona.
Jimbo hilo linanyemelewa na Gwamaka Mwafwenga aliyekuwa Mkurugenzi wa NEMC, yupo pia Eliud Mwaiteleke na...
Aliwahi kusema mwanafalsafa mmoja kwamba kadiri unavyopanua ndivyo wanavyotamani ! Juma homera anaondoka na kuiacha mbeya ikiwa gizani ,maswali yetu Bado alikuwa hajayajibu ! Swali la kwanza ni kweli yule kijana aliyechoma picha ya rais huko ntokela hatutamuona Tena? Swali la pili hivi ni...
Tafadhari mi si wa mbeya
Angalia takwimu hizi
Dar es Salaam: 17% (Sh32.1 trillion)
Mwanza: 7.2% (13.5 trillion)
Mbeya: 5.58% (Sh10.5 trillion)
Morogoro: 4.8% (Sh9 trillion)
Arusha: 4.7% (Sh8.9 trillion)
Tanga: 4.65% (Sh8.8 trillion)
Mbeya ni mkoa ambao hauna project kubwa ukiringanisha na...
KUANZISHWA
Mineral Access Systems Tanzania Ltd (MAST) ni Kampuni ya Kitanzania, iliyoanzishwa mwaka 2011, ikiwa na dhamira ya kuendeleza biashara ya madini kwa njia shirikishi na endelevu. Imekuwa ikifanya biashara ya madini ya kimkakati (strategic minerals) ndani na nje ya nchi mfano Zambia...
Utata gari la RC
MKUU mmoja wa mikoa nchini (majina yanahifadhiwa kwa sasa), anadaiwa kuingia katika kashifa ya kununua gari la Serikali (Shangingi), alililokuwa akilitumia awali, Raia Mwema imebaini.
Uchunguzi wa Gazeti hili, umebaini kuwa Mkuu huyo anadaiwa kutumia madaraka yake kufanikisha...
Kama unatafuta msimamizi wa mradi au kazi nipo. Mikoa miwili napatikana Mbeya na Dar es salaam.
Nina stashahada ya ufundi mitambo (Mechanical Engineering)
0756704145
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya [MUST] mwaka wa kwanza aitwaye Emilian Joseph Duzu [21] kwa tuhuma za mauaji ya Mwanafunzi mwenzake wa Chuo hicho mwaka wa tatu aitwaye Gerald Philbert Said [22].
Ni kwamba Juni 14, 2025 saa...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mtuhumiwa Seven Kipara [38] mkazi wa Ipwizi kwa tuhuma za kupanga njama na wenzake za kumuua mama yao mzazi na kumjeruhi kwa risasi mtoto aitwaye Sinzo Jifwalo mwenye umri wa miaka 4 mkazi wa Kijiji cha Ipwizi.
Ni kwamba mnamo Juni 13, 2025 saa 6:05...
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Dkt.Juma Homera ametembelea na kukagua barabara ya Mlima iwambi na barabara ya mchepuo ya muda kwaajili ya kupita Magari kupishana na Malori.
Dkt.Homera amesema hapo awali walitoa agizo la magari makubwa yapite njia ya mchepuo lakini baada ushauri wa wadau mbalimbali...
TO na uongozi wa hospitali hiyo wanatoza lita 120 na chakula na posho kwa kila mgonjwa kwa mgonjwa kutumia ambulance kwenda mbeya na badae kuwasilisha receipt za mafuta na kuchukua fedha hizo serikalini.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Benjamin Kuzaga ambaye pia ni Mlezi wa Kamati ya usalama barabarani Mkoani humo Juni 12, 2025 aliwaongoza wajumbe wa kamati hiyo kufanya ukaguzi wa maendeleo ya utekelezaji wa maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Dkt...
Kompyuta hp ina disk TB 4 Ina mzigo full movies&nyimbo imetumika miezi 6 tu .Bei tsh 550000
Mashine ya biisi ya Kati hii haitumii umeme mkubwa bei 350000
ofa :Ukinunua kompyuta unapewa makava ya simu bure pamoja na external moja bure
Chama Cha Mapinduzi CCM mkoa wa Mbeya kimetoa rambirambi yake kwa familia 28 zilizoondokewa na ndugu kufuatia ajali ya magari iliyotokea siku ya Jumamosi usiku.
Soma: Watu 28 wafariki kwenye mteremko wa Mbalizi, mkoani Mbeya, wengine 9 wajeruhiwa
Akiongea na wafiwa kwa niaba ya Mwenyekiti wa...
Mashindano ya Dream fm super cup yaliendelea kutimua vumbi siku ya jana kwenye uwanja wa chuo kikuu cha Teku
Mechi hiyo ya fainali ilizikutanisha timu za chuo kikuu cha Sayansi na technology MUST dhidi ya TIA.
Ndani ya dakika 90 game ilimalizika kwa bao moja kwa moja na ndipo ikafuata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.