Wako watu sasa hivi wanatamba, kana kwamba wamesahau yaloyowapata wenzi wao waliodhani ni wao duniani hata wengine walidiliki kutoa shuhuda kwamba ktk wanaokula raha ni wao tu duniani.
Hali ile ile wengi walio upande Wa mshika mpini, wanajisahau kana kwamba waliopita hawakuwa na akili...