Rais Samia: Jiji la Dar es Salaam la sita kwa Usafi Afrika. Asema limetoka kwenye vijibanda na vimwamvuli

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,444
7,808
Rais Samia: Jiji la Dar es Salaam limetangazwa na jarida la African tour magazine kuwa jiji la sita kwa usafi barani Afrika. Na tumetoka mbali, kwa wale wanaoikumbuka Tanzania miaka kidogo ya nyuma, tulikuwa na vijibanda na vimwamvuli kila pahali kwenye street.

Lakini kwasababu ya kutekeleza malengo haya tuliyoelekezwa na umoja wa Afrika na Dunia, tumeweza kuisafisha Dar es Salaam na hivyo hivyo tunasafisha majiji mengine makubwa kama Mwanza, Mbeya, Dodoma na kwengine kote pamoja na Arusha.

 
Ametoa hotuba nzuri ila nimeshtuka mama alipozungumzia mafua yanayodondosha watu mtwara je hii haiwezi kushtua wageni?
 
Rais Samia: Jiji la Dar es Salaam limetangazwa na jarida la African tour magazine kuwa jiji la sita kwa usafi barani Afrika. Na tumetoka mbali, kwa wale wanaoikumbuka Tanzania miaka kidogo ya nyuma, tulikuwa na vijibanda na vimwamvuli kila pahali kwenye street.

Lakini kwasababu ya kutekeleza malengo haya tuliyoelekezwa na umoja wa Afrika na Dunia, tumeweza kuisafisha Dar es Salaam na hivyo hivyo tunasafisha majiji mengine makubwa kama Mwanza, Mbeya, Dodoma na kwengine kote pamoja na Arusha.

Dsm hii hii..au ipi??uchafu na dsm ni kama takle na ch..p.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sijaelewa hapa, kabla ya 17/03/21 Aliyekuwa mwenye nchi alitangaza kuvunja jiji la Dar na kuunda jiji la Ilala. Mara zote nimekuwa nikisikia wakubwa wakiendelea kuliita jiji la Dar, kama uzi huu unavyosomeka, jiji la Ilala pia liliondoka 17/03/21???
 
Hii kauli yake; "limetoka kwenye vijibanda na vimwamvuli" ni dharau kwa wafanyabiashara wenye mitaji midogo.

Watu walikuwa wanajipatia riziki zao kwenye zile ofisi zao, kumbe kwa Samia ule ulikuwa ni uchafu!.

Anaonekana anataka kufanana na mtangulizi wake kwa kauli za kukera na kuudhi, madaraka yanalevya haraka sana.
 
Sijaelewa hapa, kabla ya 17/03/21 Aliyekuwa mwenye nchi alitangaza kuvunja jiji la Dar na kuunda jiji la Ilala. Mara zote nimekuwa nikisikia wakubwa wakiendelea kuliita jiji la Dar, kama uzi huu unavyosomeka, jiji la Ilala pia liliondoka 17/03/21???
Jiji la DSM ni Wilaya ya ilala. Wilaya ya ilala ndio inaunda na halmashaur ya Jiji la DSM
 
Sijaelewa hapa, kabla ya 17/03/21 Aliyekuwa mwenye nchi alitangaza kuvunja jiji la Dar na kuunda jiji la Ilala. Mara zote nimekuwa nikisikia wakubwa wakiendelea kuliita jiji la Dar, kama uzi huu unavyosomeka, jiji la Ilala pia liliondoka 17/03/21???
Umesema 'Aliyekuwa'.

Asiyekuwepo na lake halipo.
 
Mama chonde chonde huku bei ya chumvi haijapanda plz plz tufanyizie ipande, choroko nazo bei bado ndogo tunaomba mama.

Halafu hao wanyonge wa vimwamvuli walikua mashabiki wa KAYAFA wasage sage wakafie mbali walituharibia nchi.
 
Rais Samia: Jiji la Dar es Salaam limetangazwa na jarida la African tour magazine kuwa jiji la sita kwa usafi barani Afrika. Na tumetoka mbali, kwa wale wanaoikumbuka Tanzania miaka kidogo ya nyuma, tulikuwa na vijibanda na vimwamvuli kila pahali kwenye street.

Lakini kwasababu ya kutekeleza malengo haya tuliyoelekezwa na umoja wa Afrika na Dunia, tumeweza kuisafisha Dar es Salaam na hivyo hivyo tunasafisha majiji mengine makubwa kama Mwanza, Mbeya, Dodoma na kwengine kote pamoja na Arusha.

Hao wapima usafi walipita Kwamtogole!!!
 
Hii kauli yake; "limetoka kwenye vijibanda na vimwamvuli" ni dharau kwa wafanyabiashara wenye mitaji midogo.

Watu walikuwa wanajipatia riziki zao kwenye zile ofisi zao, kumbe kwa Samia ule ulikuwa ni uchafu!.

Anaonekana anataka kufanana na mtangulizi wake kwa kauli za kukera na kuudhi, madaraka yanalevya haraka sana.

Hii kauli yake; "limetoka kwenye vijibanda na vimwamvuli" ni dharau kwa wafanyabiashara wenye mitaji midogo.

Watu walikuwa wanajipatia riziki zao kwenye zile ofisi zao, kumbe kwa Samia ule ulikuwa ni uchafu!.

Anaonekana anataka kufanana na mtangulizi wake kwa kauli za kukera na kuudhi, madaraka yanalevya haraka sana.
Acha ujinga wako bwana. Amekosea nini kugusia usimamizi mzuri wa mipango miji?
 
Rais Samia: Jiji la Dar es Salaam limetangazwa na jarida la African tour magazine kuwa jiji la sita kwa usafi barani Afrika. Na tumetoka mbali, kwa wale wanaoikumbuka Tanzania miaka kidogo ya nyuma, tulikuwa na vijibanda na vimwamvuli kila pahali kwenye street.

Lakini kwasababu ya kutekeleza malengo haya tuliyoelekezwa na umoja wa Afrika na Dunia, tumeweza kuisafisha Dar es Salaam na hivyo hivyo tunasafisha majiji mengine makubwa kama Mwanza, Mbeya, Dodoma na kwengine kote pamoja na Arusha.

Safi sana mh.SSH juhudi zako za kuleta maisha ya kistaarabu zinaonekana..

Bila shaka kwa pesa hizi ulizozibajeti mwaka ujao mambo yatazidi kunoga kwa machinga 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220710-192109.png
    Screenshot_20220710-192109.png
    111.2 KB · Views: 8
Mabanda yametoka City centre yameahamia mitaani hadi Oysterbay na Masaki. Apite Haile selasie road kama hataona mabanda yanajengwa na mengine yapo. Sasa hivi makontena yanarudi service road. Pale coco beach penyewe kuna mabanda tu ila yameezekwa na mabati ya rangi simba dumu hamna lolote la maana kuchafu kama zamani.
Kama una hela sasa hivi unaweka banda popote unapotaka.
 
Back
Top Bottom