Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Japo sio wote ila kuna aina flani ya wazazi ambao linapofika swala la kuoa au kuolewa wana tabia ya kuwapinga watoto wasioe au kuolewa kutokana sababu wanazozijua wenyewe kama vile kabila , Dini, familia n. K kwa hofu watoto watakuja kuteseka
Je katika hili kuna ukweli wowote ule
Je katika hili kuna ukweli wowote ule