mauaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Account za Mange Kimambi na Wananchi Forum zote zimefutwa Instagram. Inafurahia mauaji ama kweli mnyonge Hana haki duniani

    wamefuta
  2. Bila bila

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wazee mlioshangilia Mauaji kwenye hotuba ya Rais mmelaani vizazi vyenu

    Jana Des 2, 2025 saa 7:11 mchana Watanzania wote wameona na Dunia imeshuhudia mliosilimishwa/kubatizwa na kupewa jina la Wazee wa Dsm mkipiga makofi kushangilia kauli ya mama Samia aliposema nguvu iliyotumika kukabiliana na Vijana Oct 29 ilikuwa ya kutosha. Tumeona mlivyotumia vizuri posho...
  3. Common Folk

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Fr. Kitima: Tume ya uchunguzi haina maana kama hatujakiri watu waliuawa tena kwa risasi za moto. Nani aliwaua?

    "Katika kuonesha hilo mnaloliita maridhiano, lazima kwanza kutikiri watu waliuawa na risasi za moto na nani? Swali hilo likijibiwa ndiyo hapo tutahitaji tume huru ya uchunguzi ambayo haihusiki na anayeshukiwa kwamba alihusika kuua" - Padre Charles Kitima Pia Soma: Rais Samia aunda Tume ya...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Kama umeolewa/umeoa Askari na unajua alishiriki kwenye mauaji, kaa mbali nae, atakuja kukuua

    Tahadhari kabla ya hatari Ukishaonja damu mara moja, huwezi kuacha, inakua kiu ya kila siku Hamu ya damu waliyokunywa itabaki milele, na ikifika muda wakakosa na kiu ikabana watakunya kwako au kwa watoto wako. Chukua tahadhari kabla ya hatari
  5. Penguinelli Cactussini

    JamiiForums Tanzania Email ambayo inatumika kukusanya ushahidi wa MAUAJI ya MO29 ni ya serikali (Bite anamtafuta Beatrice)

    Email na website haijitegemei kwamba isifungamane na upande wowote ili sasa tume itoe taswira ya kilichotokea pasi na kuegemea upande wowote. Sasa kinachoonekana ni Dulla anamtafuta Abdalla. Maana anayetuhumiwa ni serikali so inamtafuta huyo serikali anayetuhumiwa. Pia inamaanisha kwamba...
  6. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Mauaji baada ya Maandamano pia yamefyeka Omba-omba na wasio na makazi

    Yaan ilikua wewe ukionekana unakula Shaba ya kichwa, tumbo au mkoundouni. No discussion. RIP wote
  7. Ileje

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Boniface Mwabukusi: Viongozi acheni kudogodesha mauaji mliosababisha!

    Viongozi wajiepushe na Kauli za Kudogodesha mauwaji waliyoyasababisha kwa kutokuwajibika kwao. Walipuuza Mazungumzo na kudhihaki kila jitihada ya Mashauriano. Watu waliwaona na kutambua Maiti za ndugu zao kwenye picha na mitandao ya kijamii wakiwa wameuawa wana kwenda Mochwari miili hamna bado...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya Sharpeville, South Africa

    Sharpeville massacre - Wikipedia Sharpeville massacre - Wikipedia Sharpeville massacre The Sharpeville massacre occurred on 21 March 1960, when police opened fire on a crowd of people who had assembled outside the police station in the township of Sharpeville in the then Transvaal Province of...
  9. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Tukishachukua Nchi, Kifo Cha Hayati Magufuli kitachunguzwa, Wahusika wa Mauaji hayo Kuchukuliwa Hatua Kali za Kisheria !!Hakuna Cha Msamaha hapa !!

    Yaan nyinyi kama mlimteka Polepole mkadhani ndio mmezima Jinsi zenu, kimewalamba !!!!. Jiandaeni !! Sisi tumeamua kuisafisha Nchi hii kuanzia Mizizi yake !!.
  10. tpaul

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi waliofanya mauaji ya Oktoba 29 wamepandishwa vyeo mara 2

    Habari za kiintelejensia zilizovuja kutoka duru za kipolisi ni kwamba polisi wote walioshiriki kuwaua raia kati ya Oktoba 29 hadi Novemba 5 wamepandishwa vyeo mara 2. Upandishaji huu wa vyeo umeenda sambamba na idadi ya watu ambao kila mmoja aliua. Waliwaua watu wengi zaidi, wamepandishwa cheo...
  11. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Msanii Davido alisimamisha show yake hapo Jana kuiombea Tanzania kutokana na mauaji yaliyotokea

    "Jana usiku alisimamisha show yake kuwaambia watu waiombee Tanzania sababu ya mauaji yaliyotokea. Meanwhile wasanii wa Tanzania wanapambana kuirudisha nchi kwenye hali ya hali ya kawaida ili waweze kupiga show tena. Kila Davido wanaumia na Tanzajia ila wasanii wa Tanzania wako busy na vibao...
  12. Heparin

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tanzania yadai Bunge la Ulaya halitendi HAKI kujadili mauaji ya Oktoba 29 na kufungwa kwa Lissu bila kuipa nafasi ya kusikilizwa

    Tanzania imetuma malalamiko kwa Bunge la Ulaya kuhusu mpango wa kufanya kikao cha kujadili mada inayohusu mauaji ya baada ya uchaguzi, kuzorota kwa haki za binadamu nchini, pamoja na kesi inayomkabili kiongozi wa Chama cha Upinzani, Tundu Lissu bila kuipa Serikali ya Tanzania nafasi ya kutoa...
  13. mshale21

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwanini Mwigulu anakomalia "waandamanaji walikuwa na silaha"? Je, anabumba maneno hayo ili kutoa mwanya wa mauaji ya raia mpaka majumbani?

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, akiongea na wahariri pamoja na waandishi wa habari, leo Jijini Dar es Salaam, amesema maandamano ambayo waandamanaji wanaenda na silaha (kuwa ‘full armed’) sio maandamano, huku akibainisha kuwa idadi kubwa ya walishiriki...
  14. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania ICC yazidi kunukia kwa Samia na Wakuu wa Vyombo. Mbunge wa Congress Marekani ataka Uchunguzi huru Mauaji ya raia Tanzania

    Nilisema na nitasema tena. Huwezi ua maelfu ya watu alafu Dunia ikakuacha. Mbunge wa Bunge la Congress Marekani Ayanna Pressley ametoa tamko kudai uchunguzi huru wa Kimataifa kuhusu mauaji maelfu ya Watanzania yaliyofanywa na vyombo vya Ulinzi wa Usalama wakati na baada ya uchaguzi. Ikumbukwe...
  15. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CCM sasa ni mufilisi kisiasa, haijalaani mauaji

    CCM kwa sasa ni sehemu ya serikali kandamizi. CCM hainaushawishi kwa sasa na haiwakilishi wananchi wa kawaida kabisa. Imepita takriban wiki tatu baada ya mauaji ya wananchi wa kawaida hasa vijana. Mauaji, kuteka watu sasa katika utawala wa CCM kwa sasa ni mambo ya kawaida na CCM IMEYARUHUSU...
  16. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kwa Mujibu wa Msigwa, Serikali inaumizwa na CNN kuweka HABARI za Mauaji, ila Serikali Haiumizwi na Mauaji iliyoyafanya Kwa Wananchi

    Mnaendelea kutupa sababu za Maandamano DEC 9 , tutatoka!!
  17. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Msigwa: Uhakiki wa video za CNN unaendelea, serikali inatoa wito wa CNN kufuata weledi na maadili ya uandishi

    Kuhusu serikali kufanya uhakiki wa ripoti ya CNN, Msigwa amesema: Uhakiki wa makala unaendelea, lakini hawajafuata weledi na uadilifu kwenye uandishi wa habari. Si kweli CNN ilishindwa kupata upande wa serikali, akisema inashangaza chombo kama CNN kufanya makosa ya kiweledi kama hayo...
  18. Idugunde

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Umoja wa Mataifa ulete mchunguzi huru, Mauaji yaliyofanyika ni makubwa kuliko inavyodhaniwa

    Umoja wa Mataifa kupitia baraza lake la usalama utume mchunguzi huru na ukweli ufahamike. Maana haya hayakuwa mauaji dhidi ya waandamanaji bali ni mauaji dhidi ya raia wasio na hatia. Jana kuna familia wamefanya ibada ya mazishi kwa kutumia picha ya mpendwa wao ambae hajaonekana tangu oktoba...
  19. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwahiyo huyu ndie wamemtuma kujibu ripoti ya CNN? Ila hawa mashehe wanachokitafuta watakipata

    Imamu wa Msikiti wa Mtambani wilayani Kinondoni mkoani Dar es Salaam, Sheikh Shaban Pembe amehoji sababu ya nguvu kubwa ambayo vyombo vya habari vya kimataifa na baadhi ya majirani wa Tanzania, hususan Kenya, wameiweka katika kuripoti matukio ya vurugu yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi...
  20. Q

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CNN Evidence: Tanzania Police Killed Protestors

    In the chaotic aftermath of Tanzania’s disputed presidential election last month, police and gun-wielding men on patrol shot at groups of protesters, many of whom appeared unarmed or were holding only rocks and sticks, a CNN investigation has found. Geolocated videos from the scenes, audio...
Back
Top Bottom