matatu

In Kenya matatu (known as mathree in Sheng) or matatus are privately owned minibuses, although pick-up trucks and estate cars were in the past pressed into service as these Kenyan share taxis. Often decorated, many matatu feature portraits of famous people or slogans and sayings. Likewise, the music they play is also aimed at quickly attracting riders.Although their origins can be traced back to the 1960s, matatu saw growth in Kenya in the 1980s and 1990s, and by the early 2000s the archetypal form was a (gaily decorated) Japanese microvan. C. 2015, larger, bus-sized vehicles also started to be pressed into service as matatu.
These minibuses ply set routes, run from termini, and are used for both inter- and intra-city travel. In addition to a driver, matatu may be staffed by a conductor, locally known as a makanga or manamba or donda.
As of 1999, they were the only form of public transport available in Nairobi, Kenya, although in 2006 and 2008 this was no longer the case.
Over the years, stiff competition is being experienced from bus-sharing applications such as SWVL.The name may also be used in parts of Nigeria.

View More On Wikipedia.org
  1. Miss Zomboko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania At least 13 dead at Matatu bombing at Mandera

    About thirteen people have been confirmed dead in Arabia, Mandera County after a minibus ran over an Improvised Explosive Device (IED). County authorities have told The Standard that the vehicle was headed to Mandera town. Eye witnesses at the scene say the incident took place on Monday...
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kwa sababu zangu Binafsi nakushauri Jina la Naibu Spika awe amepitia au amebobea katika maeneo haya Matatu tu....

    1. Awe ni TISS Agent 2. Awe ni Mmedani ( JWTZ ) Mstaafu 3. Awe Lawyer na Diplomat tu ANGALIZO Hakikisha awe ni Muislamu kwa Imani ( Dini ) halafu awe anatokea Visiwani ( Zanzibar Isles ) na kamwe asitokee huku Kwetu Tanzania Mainland. Mheshimiwa Rais wangu Samia kama ambavyo hukuniangusha...
  3. Replica

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu - Januari 19, 2022

    Salaam Wakuu, Leo tarehe 19/01/2022 kesi ya Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe inaendelea. Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani. ======= Kufahamu ilipoishia, soma hapa:Yaliyojiri mahakamani kwenye Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Kesi imeahirishwa...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Mambo matatu Muhimu kabla hatujamsahau Hayati Dkt. Magufuli

    Katika Nchi ambayo Viongozi wanajipimia kama hii Tanzania ya Sasa tunahitaji vitu vitatu :- 1. Katiba Mpya ,tunahitaji katiba inayong'ata ili viongozi na wananchi waheshimu madaraka. 2. Chama kimoja (ingawa linaendana na katiba),Tanzania bado ni nchi changa kuwa na mfumo wa vyama vingi hivyo...
  5. anonymousafrica

    JamiiForums Tanzania Je, wajua tarehe 5 Februari mwaka 1977 ni Siku iliyobeba matukio matatu ya kufurahisha na kuhuzunisha?

    Tarehe 05 mwezi Februari mwaka 1997 ilikuwa siku muhimu yenye matukio ya kufurahisha na kuhuzunisha. Kabla haujayapitia hayo matukio matatu, Kumbuka siku hii chama cha TANU na ASP viliungana na kuunda Chama cha Mapinduzi (CCM). Lakini 1. ASP ilikuwa inatimiza miaka 20 tangu kuanzishwa kwake na...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa

    Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa (Mkuu wa Jopo la Mawakili) wa hovyo hovyo waliojitutumua Kupambana na Wakili Msomi Mmoja tu Raia wa Ghana huko CAS Bernard Morrison na leo Kawaumbua. Kuna Wakili Msomi Mmoja (tena Mwandamizi tu) aliwahi kunipa Takwimu za Kesi...
  7. Yericko Nyerere

    JamiiForums Tanzania Mambo tata matatu, Uteuzi wa Jaji Kiongozi Siyani

    Uteuzi wa Jaji Siyani kuwa Jaji Kiongozi una sura tatu tata sana. 1) Ikiwa Jaji Kiongozi Mh Siyani atalazimika kuachia Jaji mwingine hii kesi ya Mh Mbowe, Athari za kuteuliwa jaji mwingine kwenye kesi hii ni kwamba ajaye anaweza kutoa maamuzi kwaniaba ya mamlaka za uteuzi ili nae apendelewe...
  8. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania CCM yatoa maelekezo matatu kwa Serikali, ahueni kwa wakulima wa mahindi nchini

    CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHATOA MAELEKEZO MATATU KWA SERIKALI, AHUENI KWA WAKULIMA WA MAHINDI NCHINI. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa maelekezo matatu kwa Serikali kuhusu ununuzi wa mahindi ya wakulima, vituo vya kununulia mahindi pamoja na bei ya mbolea nchini. Maelekezo hayo yametolewa...
  9. C

    JamiiForums Tanzania Hassan Mwakinyo: Nina magari matatu. Moja analitumia kumpeleka mbwa baharini kuogeshwa

    Bondia Hassan Mwakinyo amesema Kwamba hawezi kupigana kugombania gari kwasababu hana shida ya gari kwani ana magari matatu na kati ya hayo kuna moja anatumia kupeleka Mbwa wake Baharini kuogeshwa. Huyo ndo Mwakinyo bwana Mdigo mwenye maneno yake. Bado mnataka apigane na Twaha Kiduku?
  10. J

    JamiiForums Tanzania Vikosi vya waasi vyakomboa miji mitatu mikubwa kutoka utawala wa Taliban

    On 20th August Opposition fighters loyal to Afghanistan's ousted government retake three northern districts from the Taliban just days after the Islamist group reestablished its control over most of the country. The Taliban swept through Afghanistan, taking most of its 34 Afghan provincial...
  11. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu wa CCM atoa maelekezo matatu mahususi kwa Viongozi na Watendaji wa Serikali nchini

    TAARIFA KWA UMMA KATIBU MKUU WA CCM ATOA MAELEKEZO MATATU MAHUSUSI KWA VIONGOZI NA WATENDAJI WA SERIKALI NCHINI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Godfrey Chongolo, akiambatana na Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, akiwa katika ziara ya kukagua miradi na shughuli za...
  12. C

    JamiiForums Tanzania Kevin-Prince Boateng:′′ Nilinunua magari matatu kwa siku moja nikiwa Tottenham: Lamborghini, Hummer, na Cadillac lakini sikuwahi kua na Furaha

    Lamborghini, Hummer, na Cadillac. Lakini kwa kipindi chote nilichokaa Tottenham nlishindwa kununua FURAHA. Furaha pekee ndo ilinifanya niondoke Tottenham na kwenda kuitafuta sehemu nyengine. Swali kwako how far can you go for find of happiness and what cost u can pay for your happiness?
  13. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wakati tukingojea kwa hamu 'Tamko' lao , unadhani kwa haya Matatu lipi litakuwa Jema Kisiasa na Kiustawi?

    A Je, Mama akubali Kutenguliwa kwa Tozo ibaki ile ile ya mwanzo huku akimwangusha Waziri wake wa Fedha aliyemuamini? B Je, Mama akaze hivyo hivyo 'Tozo Umiza Komoa' ibaki ili amlinde Waziri wake wa Fedha, asiwaangushe Wabunge walioipitisha na asikiangushe Chama Tawala cha CCM kilichompa...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Mapigo matatu yapunguza Kasi harakati (agenda) za kudai katiba mpya

    1. IGP Siro haja na taarifa zenye utata dhidi ya Lissu 2. Dialo na Mtaka watoa kauli nzito kuhusu watawala na kutakiwa kuomba radhi kinyume na misimamo yao 3. Msajili wa vyama ahoji kwanini wabunge 19 walifukuzwa chadema Huu ni mwendelezo wakuwatoa Wana vuguvugu la katiba kwenye harakati za...
  15. Richard

    JamiiForums Tanzania Askari DEREK CHAUVIN akutwa na hatia ya mauaji ya George Floyd

    Wazee wa baraza katika kesi ya mauaji ya mwafrika mmarekani George Floyd wanatarajiwa kurejea mchana huu na majibu ya hatia kwa mashtaka yote matatu. Derek Chauvin ambae alikuwa askari polisi alimwekea goti shingoni George Floyd kwa dakika tisa na sekunde 29 alipokuwa akimkamata na kusababisha...
  16. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Mambo matatu aliyokuwa nayo Hayati Dk. John Pombe Magufuli kulingana na Rais Mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete

    Bila kuzungusha sana uzi mambo hayo ni; (i) Kugusa maisha ya wengi (ii) Kusifiwa akiwa hai (iv) Kuondoka wakati bado anahitajika. Mambo haya kwa ujumla wake kulingana na hotuba iliyosomwa na Rais Mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete leo ni bahati aliyokuwa nayo Hayati D.k John Pombe Joseph Magufuli.
  17. M

    JamiiForums Tanzania Waafrika tuanzeni Kujifunza kujiandaa Kisaikolojia kwa Majanga makubwa Matatu kama haya yafuatayo....

    1. Ukisikia kuna AJALI KUBWA imetokea mahala popote Barani Afrika jueni ni jambo la Kawaida tu na Umakini uongezeke ili Kuepuka na zingine mbeleni. 2. Ukisia kuna MWANDAMIZI ( KIONGOZI ) yoyote au MTU MAARUFU yoyote yule ana ANAUGUA sana au hata AMEFARIKI ( hapa Barani Afrika ) wala usishtuke...
  18. Z

    JamiiForums Tanzania Maswali matatu kwa Waziri wa Afya

    Ndugu Waziri wa Afya, naomba kukuuliza MASWALI matatu tu ili nisikuchoshe. Nikiwa mwananchi wa nchi hii ninahitaji majibu sahihi kutoka kwako tena yawe ya kitaalamu na si ya kisiasa: 1) Je, korona ipo au haipo hapa Tanzania, na kama ipo Ni ya aina gani, ya China au ya South Africa? 2) Je...
  19. ommytk

    JamiiForums Tanzania Leo nimenunua maembe 3 kwa Sh. 10,000/- bila kupenda

    Wadau leo nimezidiwa ujanja nimebaki nacheka kweli mjini shule nimemkuta mtu ana maembe dodo mazuri Mbagala stand nikayapenda, nikauliza bei akasema ni sh. 800 na yapo 4 Mimi nilitaka mawili tu. Nikampa 10,000 akawa chenji hana ikabidi aniache na maembe yale manne na kiroba chake anaenda...
  20. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Msanii gani maarufu umewahi kuonana naye live mkaongea mawili matatu

    Nakumbuka kwangu enzi nipo Arusha miaka ya 2016 , Nlikuwa na kawaida ya kwenda club D maeneo ya Moshono. Siku ya siku wakaja kina Mr Blue na Rommy Jons ambae alipewa u DJ. Cha ajabu hatukuwa wengi sana, hatukufika hata 30, Basi ikawa Mr Blue ananipa mic sana tu niwe nafuatiliza nyimbo zake...
Back
Top Bottom