Wakati tukingojea kwa hamu 'Tamko' lao , unadhani kwa haya Matatu lipi litakuwa Jema Kisiasa na Kiustawi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,571
108,912
A

Je, Mama akubali Kutenguliwa kwa Tozo ibaki ile ile ya mwanzo huku akimwangusha Waziri wake wa Fedha aliyemuamini?

B

Je, Mama akaze hivyo hivyo 'Tozo Umiza Komoa' ibaki ili amlinde Waziri wake wa Fedha, asiwaangushe Wabunge walioipitisha na asikiangushe Chama Tawala cha CCM kilichompa Dhamana ya Kikatiba kuwa hapo alipo?

C

Je, Mama akubali yaishe Kiungwana kabisa ajitokeze hadharani Kuomba Radhi na akiri kuwa mwenye Kulaumiwa ni Yeye kama Rais hivyo anabeba Lawama zote na kutuahidi kuwa Kosa kama hilo halitojirudia tena katika Awamu yake ya Deiwaka ( aliyokopeshwa ) Kikatiba na Mtangulizi wake Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli?
 
Nasubili kwaham sana
Huu ni Mtego mkubwa sana kwa Mama ( Rais ) kumpima kama anajiamini na hatishiki na Mihemko.

Mama ( Rais ) akikubali tu Kuibadilisha kwa Kigezo cha Kusikia Kilio chetu Wananchi itamgharimu mno Uwezo wake kama Rais na Amiri Jeshi Mkuu.

Ushauri wangu Kwake ( japo ameshachelewa ) baada ya Jana Waziri wake wa Fedha kusema amesikia Kilio chetu ilikuwa akomae tu na Tozo yao hii mpya ili aonyeshe Msimamo wake ila atafute njia ya Kutupoza Machungu Watanzania katika Tozo zingine na ninavyowajua Watanzania wangeridhika na kusahau Kero hii mapema.

Kwa hili Mama ( Rais ) kategwa patamu.
 
C76B0D5D-9CF2-4C85-B861-E9C4AA90206B.jpeg
0328C5E9-F184-4AAF-8BD5-C36EBD453013.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom