Salaam wadau,
Naomba msaada wa kufahamishwa market price ya mafuta ya alizeti kwa Dar es salaam katika ujao huu apa "0.5 Lt, 1 Lt, 3 Lts, 5 Lts, 10Lts & 20Lts"
Ahsante.
Kenyan ride-hailing firm Little is expanding to Addis Ababa joining Safaricom and several other Kenyan firms in the race to crack the Ethiopian market that has so far remained closed to foreign firms.
Little chief executive officer Kamal Budhabhatti told Business Daily the firm will invest $5...
Wazalishaji wa bidhaa wa Kenya na Tanzania wamefanya mazungumzo ili kujadili juu ya kukuza biashara ya pamoja na upatikanaji wa soko kati ya nchi hizo mbili.
Mkutano umeanza Jumatano hii na unataraji kuendelea mpaka Ijumaa ambpo utawahusisha wawakilishi wa Serikali.
Upande wa kenya Kenya...
To increase copy sales and develop relationships with partners in the distribution channel and to ensure that you meet you’re set sales targets while maintaining an optimal return level.
Full Job Description
Promotes and coordinates sale and distribution of newspapers in areas served by...
WFP seeks candidates of the highest integrity and professionalism who share our humanitarian principles.
Selection of staff is made on a competitive basis, and we are committed to promoting diversity and gender balance.
ABOUT WFP
The United Nations World Food Programme is the world’s largest...
Eight East African firms in list of continent’s most valuable brands
By JAMES ANYANZWA
Kenya’s mobile phone operator Safaricom has topped the list of Africa’s most valuable brands by market capitalisation, with shareholder wealth peaking at a record high of $14.14 billion in February 2021...
Habari za leo wakuu,
Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu njoo tujadili ni Sekta zipi katika soko la Tanzania hazina perfect competition of market.
Perfect competition ni hali ya kuwepo kwa ushindani Mkubwa katika soko usio na upendeleo. Na bei za sokoni zote hazi be controlled na wauzaji wala...
Habari za leo wakuu,
Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu njoo tujadili ni sekta zipi katika soko la Tanzania hazina perfect competition of market.
Perfect competition ni hali ya kuwepo kwa ushindani Mkubwa katika soko usio na upendeleo. Na bei za sokoni zote hazi be controlled na wauzaji wala...
Yaani value ya shares ya Safaricom imefikia ksh 1.4 trillion. Hii inaifanya Safaricom kuwa na bigger market capitalisation than the market cap of the entire Dar es Salaam stock exchange. Kampuni yetu moja ni kubwa kushinda Dar es Salaam stock exchange.
============
Safaricom Stock Touches...
Copy and paste
Sunday news 👋🏽 ya kuanzia siku 😂
Serikali ya mahodari inaendelea kupaiza uchumi! Sasa kuna soko la magendo (haikuanza leo ilianza 2018 walipopora fedha na kufunga maduka ya fedha)
Sasa eti serikali inapambana na soko hili
Ila ukweli ni huu (numbers don’t lie) 👇🏽
SASA
Manunuzi...
Overview:
Kariakoo Markets Corporation is an autonomous Government Institution established under the Kariakoo Market Corporation Act no 36 of 1974 (Revised by the Act No 16 of 1985, to manage and control the Kariakoo Market, establish and manage other markets within Dar es salaam Region...
Habari mkuu.
Leo napenda share nanyi mradi simple niliouanzisha mwezi September 2020 na hadi November hii inaanza umeonesha mafanikio endelevu nikipitia hatua 3 muhimu.
Hatua 3 muhimu nilizopitia ni :
1. Nilijiuliza wateja wangu ninaowalenga ni akina nani?
Nikaona ni wanawake walioathirika...
Soko la Wafadhili (The market of potential donors) kwa Taasisi zinazofanya vizuri katika maeneo yao ya kiutendaji ni kubwa. Ili kuwa na ufanisi katika kuliendea soko hili; Taasisi inapaswa kuligawa (market segmenting). Namna rahisi kwa Taasisi kugawa soko la Wafadhili ni kama ifuatavyo;
Soko...
Habari za uzima, Ndugu zangu, kuna mtoto wa dada yangu nimemfanyia application ndoto zake kubwa ni kusoma udaktari na aya ndio matokeo yake ya O-LEVEL (NI BINTI)
O LEVEL
Civics..........B
History.......D
Geograph..B
Kiswahili....B+
English.......B+
Physics.......C
Chemistry...C
Biology.......B...
Thamani ya hisa za makampuni hasa tech companies zimeanguka kwa asilimia kubwa kuanzia juzi. Megacaps kuanzia jana na leo imepoteza thamani ya dola milioni 900!
Hii ni mara 60 ya bajeti yetu kwa mwaka! This might be just a small correction
-----------------------------
About Us
Truly African
We are a diversified standalone African financial services group, delivering an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth, investment management and insurance.
Absa Group Limited is listed on...
Mwananchi Communications Limited publishers of leading Tanzania newspapers, Mwananchi, Mwanaspoti, and The Citizen and its various online and digital products are looking for motivated and highly experienced individual to fill the position of:
MARKET DEVELOPMENT EXECUTIVES-REGIONS
Job Purpose...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.