mapema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ormystatus

    Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Ni takribani miaka 8 tangu niliponunua pori lenye ukubwa wa ekari 10 katika kijiji cha Nnyengedi mkoa wa Mtwara na kuligeuza kuwa Shamba la Mikorosho. Shamba ambalo halipo mbali sana na barabara kubwa na makazi ya watu. Lilozungukwa na Mashamba ya wanakijiji na Wawekezaji wengine kutoka mjini...
  2. MakinikiA

    Mataifa yasipozinduka na kumkemea Netanyahu mapema atasababisha anguko lingine la kiuchumi zaidi ya corona

    Wandugu Nianze kwa kusema kwa sasa wote wamebaki mabubu,wameshikwa na butwaa hawajui waseme nini juu ya Netanyahu, na hii ni kwa sababu ya utashi wa mtu binafsi Huyu Netanyahu kwa sababu hata Myahudi wa miaka 70 ukimuuliza je unaweza kuwamaliza maadui zako wote na ukaishi salama atakujibu yeye...
  3. Pdidy

    Dah Dube nae anatoka mapema hawezi kuendelea..Naona wamewapiga kimbola wachezaji sasa aisee...

    PRINCE DUBE ametoka ameshindwa kumaliza mechi dhidi ya TRA inaonekana amepata majeraha, inasubiriwa ripoti ya Madaktari kuona ukubwa wa majeraha yake na kwa hoja hiyo Emmanuel Mwanengo ndie Striker Kinara kwasasa.
  4. MamaSamia2025

    Ninahisi kama mbio za urais 2030 zimeanza mapema sana

    Wakuu naona mbio za kuutaka urais zinashika kasi... makada wa chama pendwa ambao pia ni viongozi maarufu serikalini wako kasi sana kuji-brand. Binafsi ninaona siojambo baya ila mara nyingi watu kama hawa hupatwa na AJALI ZA KISIASA au chama pendwa kubadili gia angani kwenye kuteua mgombea...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    Kutotumia miguu yako vizuri kutakufanya uzeeke mapema na Haraka

    KUTOTUMIA MIGUU YAKO VIZURI KUTAKUFANYA UZEEKE MAPEMA NA HARAKA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Forever young kama ndio unataka kuonekana na kuwa hivyo basi hii mada inakuhusu Sana. Yaani unataka uonekane Siku zote kijana shupavu usiyezeeka. 2. Wakati wengine wa rika lako wakizeeka na...
  6. S

    Balozi wa USA Huckabee:''Raia wa marekani kateni tiketi kimbieni mapema israel kabla hamjachelewa

    Balozi wa marekani nchini Israeli Mike huckabee amewaambia maafisa wa ubalozi ya kwamba kama wanataka kuondoka ndani ya ardhi ya Israel waondoke mapema ''Haina haja ya kupanic kama mnataka kuondoka basi fanyeni mapema muondoke na msicheleweshe safari ''Popote mtakapo kuwepo Kateni tiketi...
  7. W

    Makonda: Migogoro ya Ardhi itapungua wananchi wakisikilizwa mapema

    Migogoro ya ardhi imeelezwa kuwa inaweza kupunguzwa kwa kuimarisha mfumo wa kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi mapema kabla hazijafikishwa mahakamani. Hayo yameelezwa jana Jumatano Februari 25, 2026 na Mbunge wa Arusha Mjini, ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo...
  8. Chizi Maarifa

    Mwigulu kachuja mapema sana. Hasikiliziki hana mvuto

    Nipo huku SA. Hawa jamaa wamekuwa waduanzi sana. Wanatusimanga kwa maneno ya hovyo utadhani baba yao naye ana kitu cha maana. Wanasema mama yenu ana IQ ya 40. Nawatizama nawatukana kimoyo moyo mbwa hawa. Jana tumekaa na boya moja tunajadiliana anasema nyie mliwahi kuwa na Baba mtandao mchafu...
  9. M

    Orodha ya majiji na watu walioyashikilia kiuchumi,

    DAR - Watu wa Kilimanjaro, Pemba, Njombe, Kigoma, Mara, Mwanza, n.k. MWANZA - Watu wa Simiyu na Mara. ARUSHA - watu wa Kilimanjaro wamedominate sana Mbeya - Watu wa Njombe Dodoma na Tanga sijajua
  10. Think2

    Huu ni mtego, shituka mapema Gen Z

    Eti tumetenga billion 2 za content creators , ikumbukwe kwamba hata mo 29 maandamano yalichochewa mtandaoni kwa kiasi kikubwa hasa tiktok, fb na instragram. Paul Makonda kawekwa pale kimkajati zaidi ili kunyamazisha gen z mtandaoni na strategy aliotumia nikuanza kuwavuta content creator mwisho...
  11. savage boe

    Xxxtentacion nyota iliyozimika mapema 🕊️

    Zikiwa zimepita siku 6 tangu tukumbuke kumbukumbu ya kuzaliwa ya rapper XXXTENTACION (Jahseh Dwayne Onfroy), aliyezaliwa tarehe 23 Januari 1998 nchini Marekani. Alijulikana kwa muziki wake uliogusa hisia za vijana wengi duniani, akichanganya Hip-Hop, Rock na R&B. Nyimbo zake zilizungumzia...
  12. M

    Kwa maslahi ya amani, serikali isikilize kilio cha haki kwa raia wake. watu wakichoka kukemea mitandaoni kitachofuata ni vikundi vya "TIT FOR TAT"

    Tunakoelekea sasa tunaweza kuja kushuhudia Tanzania ambayo hatujawahi kuvidhania kabisa.
  13. The Burning Spear

    Tungekuwa na oil reserve kubwa Samia angeshanyakuliwa mapema sana na US kwa Ukatili.

    GT Angalia hii list..haki tungekuwa na oil reserve kubwa Samia ageshanyakuliwa mapema sana na US kwa mauaji yale makubwa. Pote penye oil reserve kubwa US kapiga hacheki na kima
  14. Damaso

    DOKEZO Huu ukatili ni zaidi ya Unyama, Polisi chunguzeni mapema

    Leo asubuhi nimekutana na video mbili zinazosambaa sana mitandaoni ambazo kwa kweli zinahuzunisha na kusikitisha. Video hizo zinaonyesha vijana wawili wakipigwa vibaya kwenye miguu yao kwa kutumia mpini, hali inayoonekana kuwa ni mateso ya kikatili yasiyo na utu. Kwa sasa, haijulikani tukio...
  15. Chivundu

    Swali la kizushi: Je, kuna uhusiano gani kati ya madaraka ya Urais na kuzeeka mapema?

    Wanajamvi heri ya mwaka mpya 2026. Baada ya kunywa Balimi zangu kadhaa, nimejiuliza, hivi URAISI una nini hasa kuwafanya watu (Maraisi) wawahi kuzeeka kwa kasi ya kutisha? Je, ni majukumu mazito ya kuelemea mtu kiasi gani kumfanya mtu (Raisi) azeeke kwa haraka? . Uraisi una siri gani mpaka mtu...
  16. stakehigh

    Lissu kuondolewa uenyekiti ilitabiriwa mapema sana.

    https://x.com/barakawamb/status/2007413291476238344?s=20
  17. Genius Man

    Oct 29 shughuli zote zilisimama mapema sana asubui, internet ilizimwa asubui, usafiri haukuwepo asubui tume ilipata wapi rais, wabunge na madiwani ?

    Oct 29 shughuli zote zilisimama mapema sana asubui, internet ilizimwa asubui, usafiri haukuwepo asubui tume ilipata wapi rais, wabunge na madiwani ? Moja ya hoja kuu kuwa hakukuwa na uchaguzo kabisa oct 29, ni kwamba internet ilizimwa, usafiri haukuwepo kabisa hakuna shughuli yoyote mpaka mida...
  18. L

    Renew leseni yako Mapema

    Ndugu Mjasiriamali, Hakikisha una Renew leseni yako ya biashara Mapema. Kama leseni yako huisha December.
  19. L

    Wahi TRA Mapema

    Ndugu Mjasiriamali, Unapomaliza Kusajili Kampuni hakikisha unawahi sana kwenda TRA. Unapochelewa TRA wanaanza kukuhesabia fines. Lakini ukiwahi unaweza Anza ku file zero Taxes.
  20. stakehigh

    Hali ilivyo Mbagala mapema leo, shughuli zarejea

    https://youtu.be/-ZUtT726xT0
Back
Top Bottom