Luhamba II
Senior Member
- Mar 22, 2025
- 133
- 211
Ndugu Mjasiriamali,
Unapomaliza Kusajili Kampuni hakikisha unawahi sana kwenda TRA.
Unapochelewa TRA wanaanza kukuhesabia fines.
Lakini ukiwahi unaweza Anza ku file zero Taxes.
Unapomaliza Kusajili Kampuni hakikisha unawahi sana kwenda TRA.
Unapochelewa TRA wanaanza kukuhesabia fines.
Lakini ukiwahi unaweza Anza ku file zero Taxes.