majukumu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Frumence M Kyauke

    Rais yeyote yule ana Majukumu mazito sana wananchi tuungane kuwaombea marais wetu

    Raisi ni cheo kikubwa sana kinachotawala nchi yeyote duniani hapa Majukumu ya Raisi ni mazito sana kwasababu anatawala nchi yote kwa ujumla na kuhakikisha kila jambo linakwenda kwa usahihi kama katiba inavyo ongoza. Inapotokea Raisi ametingwa basi wananchi wakati mwingine wajaribu kuelewa...
  2. J

    Mgawanyo wa majukumu katika utendaji wa Wizara

    MGAWANYO WA MAJUKUMU KATIKA UTENDAJI WA WIZARA Watanzania kwa Muda mrefu tulikuwa na hamu kubwa ya kuona Mgawanyo wa madaraka na Majukumu katika utendaji Kazi katika Serikali. Kuna Jambo kubwa sana la kujifunza na kujivunia kwa Rais wetu Mpendwa @SuluhuSamia jinsi anavyoongoza na alivyowapa...
  3. BAKIIF Islamic

    First borns (wazaliwa wa kwanza) wanapaswa kuonewa huruma

    Je umeshawahi kukutana na mtu akakueleza kwamba ''Huyu ni mdogo wangu'', lakini huyo mdogo mtu akaonekana ni mbavu nene na mkubwa kimaumbile kuliko mkubwa mtu? na wakati mwingine hata urefu mdogo mtu humzidi mkubwa mtu. Wazaliwa wa kwanza hufubaa sana kutokana na majukumu wanayo beba japo...
  4. M

    Je, wanasiasa kutembelea sana Wanasiasa Wastaafu ni Utaratibu tu au nchi imewashinda na Majukumu ni mazito kuliko walivyotarajia?

    Nahisi Dodoma, Dar es Salaam na Zanzibar sasa Viti ni vya Moto na imebidi Wanasiasa wa Zanzibar na Kigoma tubuni Mbinu, tugawane Majukumu na kuamzisha Utaratibu wa ghafla wa Kuwatembelea Wastaafu waliotutangulia tulipo sasa maeneo ya Masaki. Tumeingia Machi na sasa ni Novemba tayari tunaenda...
  5. Analogia Malenga

    Mwaka 2020 askari polisi 13 waliuawa wakitekeleza majukumu ya kulinda raia

    Polisi wana kazi ngumu ya kulinda raia na mali zao, kubaini na kuzuia uhalifu, kukamata na kuwalinda wahalifu hadi wanapofikishwa mahakamani pia kulinda amani ya nchi. Hata hivyo takwimu za makosa ya uhalifu januari hadi disemba 2020 zinazotolewa na NBS zinaonesha mwaka 2020 polisi 13 waliuawa...
  6. funaku

    Nimepotea Jamvini kwa sababu ya majukumu tu

    Nipende kuomba radhi kwa kupotea jamvini kwa muda. Sababu kubwa ni majukumu mengi niliyopewa. Wakati muafaka ukifika nitarejea. bado misimamo yangu ni ile ile na kamwe haitobadilika. KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
  7. Equation x

    Ni bora umuoe huyo msaidizi wa ndani kama mke wako kamuachia majukumu

    Ukiona kazi nyingi za nyumbani zinafanywa na beki tatu (mfanyakazi wa ndani) kama kukufulia nguo, kuzipiga pasi nguo zako, kufanya usafi wa nyumba, kukupikia chakula, kukupokea unapotoka katika miangaiko, kuwaandaa watoto, kuwafanyia usafi watoto, kuweka mazingira ya nyumba yapendeze n.k Muoe...
  8. K

    Shirika la Viwango Tanzania(TBS) halina uhalali wa kuwepo, majukumu yamewashinda

    Shirika la viwango la Taifa limepewa hukumu la kudhibiti ubora wa bidhaa ziingiazo na zizalishwazo nchini. Lakini kwa muda mrefu ubora wa bidhaa umekuwa ikilalamikiwa na watumiaji. Nitoe mifano ya vifaa vichache. Charger za simu na vifaa vya umeme ni balaa. Unatumia masaa 12 simu haijajaa...
  9. P

    Usiseme 'umejenga' sema Serikali imejenga, tumpunguzie majukumu Rais

    Siasa ni mchezo mbaya umejaa unafiki wa kila aina. Ninawasikiliza wanasiasa wanavyosema Mama umejenga, Mama umetenga, Mama unakusudi jema sana. Yote hayo ni maneno mabaya kwa maana ya kumtwisha mzigo mzito rais na kama akikosa hekima basi anaenda kuvimba kichwa na kupoteza mwelekeo. Nawashauri...
  10. P

    "Kazi Iendelee" ni msemo unaokwepa majukumu huko tuendapo, umekaa kijumlajumla

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wote waliopo huitikia kwa nguvu kazi iendeleee. Nimekaa na kuutafakari huu msemo nimeona kama ni wa kisiasa zaidi. Unakwepa kuwa na commitment kwenye maisha ya Watanzania milioni 60, ni kama vile ikifika wakati wa Rais kuulizwa kafanya...
  11. MALCOM LUMUMBA

    Hivi ni majukumu au ubinafsi unaofanya watu wasiwe karibu kama zamani?

    Leo nimewaza sana, Nakumbuka miaka ya zamani tunakua, kulikuwa na ukaribu mkubwa sana baina ya watu. Ilikuwa inafika kipindi watu wa mtaa mzima tulikuwa tunafahamiana vizuri kabisa hata kutembeleana. Hili lilikuwepo kuanzia mitaa ya uswahilini, hadi uzunguni. Kuanzia shuleni, tulikuwa tunasoma...
  12. N

    Gari zuri kati ya Subaru Forester, Toyota rumion, Nissan x-trail

    Wakubwa habari za jioni? Poleni na majukumu pia hongereni kwa kazi. Kubwa zaidi Naomba anayejua anisidie hapa. Nauliza lipi ni gari zuri,bora na imara kati ya Subaru Forester, Toyota rumion, Nissan x-trail,. Upatikanaji wa spare, nakadhalika kwa matumizi binafsi Kama vile kwenda kazini. Pia...
  13. The Palm Tree

    Kesi ya ugaidi wa Mbowe na wenzake: Nini maana ya "submission?". Je, ni kweli kuwa DPP ana mamlaka ya kuingilia majukumu ya mahakama?

    Jana tarehe 29/10/2021 mashahidi wa pande mbili wamemaliza kutoa ushahidi wao katika kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi ya tuhuma za ugaidi inayomkabili m/kiti wa CHADEMA taifa Mh. Freeman Aikael Mbowe na wenzake watatu... Kesi hii ndogo imezaliwa baada ya upande wa utetezi kupinga kupokelewa...
  14. M

    Yapi majukumu ya mtu huyu?

    Wakuu habari za majukumu, naomba kujua kwenye uelewa wa huyu mwamba ambae nimezungushia kiduara kwenye hizo picha nilizoattach, nimekuwa nikimuona kwenye shughuli mbali mbali toka enzi za utawala wa JIWE na sasa mama SSH, je huyu mwamba ni nani na majukumu yake ni yapi, ni kitengo? Taswira yake...
  15. Mother Confessor

    DAWASA Tabata tekelezeni majukumu yenu

    Nyinyi watu wa maji DAWASA nimeripoti tatizo langu la kukosa maji naona mpo mpo tuu na majibu yenu yasoeleweka, wiki ya pili hii sina maji kwangu bomba lenu limepasuka sijui mmefanyaje wenyewe mimi sipati maji wengine wanapata huduma kama kawaida. Aisee msianze ukiritimba wenu na mambo ya...
  16. Fohadi

    Hawa watu wana majukumu gani?

    Naomba kufahamishwa tofauti kati ya majukumu ya Transportation manager na Tracking Officer kwenye kampuni za usafirishaji mizigo.
  17. mugah di matheo

    Zitto Kabwe aanza majukumu ya TCD

    Mwanasiasa Zitto Kabwe ambaye hivi karibuni alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa jukwaa la demokrasia nchini (TCD) ameanza majukumu yake hayo kwa kukutana na kufanya mazungumzo na bwana John Mnyika Katibu Mkuu wa CHADEMA taifa. Zitto Kabwe ameeleza dhamira yake ya kutumia jukwaa hilo kuleta...
  18. Suley2019

    Uongozi wa Yanga umeweka bayana majukumu ya Haji Manara

    Kumekuwa na sintofahamu kuhusu nafasi ya 'Bugatti' hasa ikizingatiwa Yanga inae Afisa wa Habari, Hassan Bumbuli na Afsa wa Uhamasishaji Antonio Nugaz Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga Haji Mfikirwa amesema Manara ataingia kwenye Kitengo cha Uhamasishaji wakiamini atasaidia kuimarisha kitengo hicho...
  19. Background Check

    Waziri Ofisi ya Rais ‘Kazi Maalum’ ana majukumu gani?

    Ndugu, Rejea kichwa cha habari hapo juu, kwa yoyote yule ambaye anaweza kuwa na uelewa ama kufahamu majukumu ya waziri wa Ofisi ya Rais kazi maalum. Nafasi hiyo kwa sasa inashikiliwa na Cap. George Mkuchika. Nimemaliza hivyo ili kufahamu, na kuongeza maarifa. Nimewahi kukutana nafasi katika...
  20. yello masai

    Mke wangu hatimizi majukumu yake ya nyumbani ipasavyo

    Heshima kwenu ndugu zangu. Jambo likikukuta mshirikishe mwingine mwenye uzoefu, na mficha maradhi kifo humuumbua. Naamini humu wapo wengi wenye ndoa na wazoefu wa changamoto mbali mbali, Nimekaa nikatafakari sana nikaona bora nilete huku jambo langu hili ili nipate mawazo mapya. Nimekuwa...
Back
Top Bottom