Shirika la Viwango Tanzania(TBS) halina uhalali wa kuwepo, majukumu yamewashinda

kamwamu

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,488
3,263
Shirika la viwango la Taifa limepewa hukumu la kudhibiti ubora wa bidhaa ziingiazo na zizalishwazo nchini.

Lakini kwa muda mrefu ubora wa bidhaa umekuwa ikilalamikiwa na watumiaji.

Nitoe mifano ya vifaa vichache.

Charger za simu na vifaa vya umeme ni balaa. Unatumia masaa 12 simu haijajaa. Mabati na misumari, na nondo.

Gauge hazifuatwi. Bati gauge 30 zinawekwa mhuri wa gauge 28.

Misumari inatengenezwa myembamba na laini, mafundi ni kuponda vidole kwa kupinda.

Nondo hazifiki unene na urefu unaotajwa na muuzaji. Ni wakati mwafaka kwa shirika hili kufutwa.
 
Mkuu,

Kwa uwalisia, kazi hii inatakiwa kufanywa na polisi na sio TBS.

kuuza/kununua/kumiliki bidhaa fake ni “criminal offence” ipo chini ya idara ya polisi.

Polisi ndio wana kazi ya kusimamia sheria, ambayo ndani yake kuna hayo maswala ya standards. Hii ndivyo inatakiwa kuwa.

TBS wao wanaangalia au kupima bidhaa na kutoa kiwango, ila sio kazi yao kusaka bidhaa fake mtaani.

Asante.
 
Shirika la viwango la Taifa limepewa hukumu la kudhibiti ubora wa bidhaa ziingiazo na zizalishwazo nchini. Lakini kwa muda mrefu ubora wa bidhaa umekuwa ikilalamikiwa na watumiaji.

Nitoe mifano ya vifaa vichache.

Charger za simu na vifaa vya umeme ni balaa. Unatumia masaa 12 simu haijajaa. Mabati na misumari, na nondo. Gauge hazifuatwi. Bati gauge 30 zinawekwa mhuri wa gauge 28.

Misumari inatengenezwa myembamba na laini, mafundi ni kuponda vidole kwa kupinda.

Nondo hazifiki unene na urefu unaotajwa na muuzaji. Ni wakati mwafaka kwa shirika hili kufutwa.
Hili shirika linahitaji TBS ya nchi nyingine ije kulikagua
 
Mkuu,

Kwa uwalisia, kazi hii inatakiwa kufanywa na polisi na sio TBS.

kuuza/kununua/kumiliki bidhaa fake ni “criminal offence” ipo chini ya idara ya polisi.

Polisi ndio wana kazi ya kusimamia sheria, ambayo ndani yake kuna hayo maswala ya standards. Hii ndivyo inatakiwa kuwa.

TBS wao wanaangalia au kupima bidhaa na kutoa kiwango, ila sio kazi yao kusaka bidhaa fake mtaani.

Asante.
Wenye uwezo wa kutambua bidhaa zisizokidhi viwango ni TBS, polisi kazi yao ni kukamata kwa maelekezo ya mlalamikaji, TBS. Siamini kama polisi wanazo maabara za kupimia ubora wa bidhaa.
 
Mkuu,

Kwa uwalisia, kazi hii inatakiwa kufanywa na polisi na sio TBS.

kuuza/kununua/kumiliki bidhaa fake ni “criminal offence” ipo chini ya idara ya polisi.

Polisi ndio wana kazi ya kusimamia sheria, ambayo ndani yake kuna hayo maswala ya standards. Hii ndivyo inatakiwa kuwa.

TBS wao wanaangalia au kupima bidhaa na kutoa kiwango, ila sio kazi yao kusaka bidhaa fake mtaani.

Asante.
Si kweli. TBS ndo wenye jukumu. Police yeye ni kuenforce sheria. Kila mtu na specialization yake.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mkuu,

Kwa uwalisia, kazi hii inatakiwa kufanywa na polisi na sio TBS.

kuuza/kununua/kumiliki bidhaa fake ni “criminal offence” ipo chini ya idara ya polisi.

Polisi ndio wana kazi ya kusimamia sheria, ambayo ndani yake kuna hayo maswala ya standards. Hii ndivyo inatakiwa kuwa.

TBS wao wanaangalia au kupima bidhaa na kutoa kiwango, ila sio kazi yao kusaka bidhaa fake mtaani.

Asante.

Kuna uwezekano mkubwa mzazi wako atakua ni mtumishi wa TBS
 
Mkuu,

Kwa uwalisia, kazi hii inatakiwa kufanywa na polisi na sio TBS.

kuuza/kununua/kumiliki bidhaa fake ni “criminal offence” ipo chini ya idara ya polisi.

Polisi ndio wana kazi ya kusimamia sheria, ambayo ndani yake kuna hayo maswala ya standards. Hii ndivyo inatakiwa kuwa.

TBS wao wanaangalia au kupima bidhaa na kutoa kiwango, ila sio kazi yao kusaka bidhaa fake mtaani.

Asante.
Polis wa tz uwape na kazi ya kusaka bidhaa feki??jiandae kwa matukio ya kutisha..na dhuruma zidi ya wananchi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Si kweli. TBS ndo wenye jukumu. Police yeye ni kuenforce sheria. Kila mtu na specialization yake.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Miss pablo

Counterfeit products zote zinaingia kupitia mpakani au bandarini. Kwenye haya maeneno kunakuwa na watu wa “boarder protection “ hii Ni agency ambayo ipo chini ya polisi au wizara ya ulinzi.

Kazi ya hii agency ni kuhakikisha hakuna bidhaa fake inaingia nchini au kitu chochote hatarishi. Hii ni agency kubwa ambayo kama yenyewe ina wataalamu wake kwa kila eneo.

TBS ni sherika la viwango. Wao kazi yao ni kupima tu na kutoa matokeo au certificate. Unaweza kusema ni mahabara tu ya kukagua bidhaa au kufanya “quality assurance “ lakini haina meno ya kukamata na kukimbizana na watu kuhakikisha hakuna bidhaa fake.

Asante
 
Mkuu,

Kwa uwalisia, kazi hii inatakiwa kufanywa na polisi na sio TBS.

kuuza/kununua/kumiliki bidhaa fake ni “criminal offence” ipo chini ya idara ya polisi.

Polisi ndio wana kazi ya kusimamia sheria, ambayo ndani yake kuna hayo maswala ya standards. Hii ndivyo inatakiwa kuwa.

TBS wao wanaangalia au kupima bidhaa na kutoa kiwango, ila sio kazi yao kusaka bidhaa fake mtaani.

Asante.
Police tena!!!,Ni hawa wetu wenye njaa njaa au wengine?.
 
Miss pablo

Counterfeit products zote zinaingia kupitia mpakani au bandarini. Kwenye haya maeneno kunakuwa na watu wa “boarder protection “ hii Ni agency ambayo ipo chini ya polisi au wizara ya ulinzi.

Kazi ya hii agency ni kuhakikisha hakuna bidhaa fake inaingia nchini au kitu chochote hatarishi. Hii ni agency kubwa ambayo kama yenyewe ina wataalamu wake kwa kila eneo.

TBS ni sherika la viwango. Wao kazi yao ni kupima tu na kutoa matokeo au certificate. Unaweza kusema ni mahabara tu ya kukagua bidhaa au kufanya “quality assurance “ lakini haina meno ya kukamata na kukimbizana na watu kuhakikisha hakuna bidhaa fake.

Asante
Kwhyo ikishapima na kugundua haijakidhi viwango inaruhusu tu kuingizwa,sio....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu,

Kwa uwalisia, kazi hii inatakiwa kufanywa na polisi na sio TBS.

kuuza/kununua/kumiliki bidhaa fake ni “criminal offence” ipo chini ya idara ya polisi.

Polisi ndio wana kazi ya kusimamia sheria, ambayo ndani yake kuna hayo maswala ya standards. Hii ndivyo inatakiwa kuwa.

TBS wao wanaangalia au kupima bidhaa na kutoa kiwango, ila sio kazi yao kusaka bidhaa fake mtaani.

Asante.
Polisi ndiyo wasimamie nondo au bati kukidhi vigezo like serioysly? Nadhani hii siyo sawa.


Tatizo TBS hawana staff wa kutosha pamoja na uwezo wa kiufundi kusimamia maeneo yote wanayopaswa
 
Polisi ndiyo wasimamie nondo au bati kukidhi vigezo like serioysly? Nadhani hii siyo sawa.


Tatizo TBS hawana staff wa kutosha pamoja na uwezo wa kiufundi kusimamia maeneo yote wanayopaswa
Kaka,
Nadhani unaposema polisi, unafikiria wale wanao kaa kwenye vituo.Hao hawajui kitu zaidi ya kukamata tu!

Polisi ni kubwa sana, ina watu wa kila idara paka “chemists,Biologist au engineers”. Niliwai kuishi Australia na Canada miaka ya nyuma, kazi kama hii ilikuwa chini ya polisi,ambayo ilikuwa inafanywa na watu wa boarder agency.

Asante
 
Miss pablo

Counterfeit products zote zinaingia kupitia mpakani au bandarini. Kwenye haya maeneno kunakuwa na watu wa “boarder protection “ hii Ni agency ambayo ipo chini ya polisi au wizara ya ulinzi.

Kazi ya hii agency ni kuhakikisha hakuna bidhaa fake inaingia nchini au kitu chochote hatarishi. Hii ni agency kubwa ambayo kama yenyewe ina wataalamu wake kwa kila eneo.

TBS ni sherika la viwango. Wao kazi yao ni kupima tu na kutoa matokeo au certificate. Unaweza kusema ni mahabara tu ya kukagua bidhaa au kufanya “quality assurance “ lakini haina meno ya kukamata na kukimbizana na watu kuhakikisha hakuna bidhaa fake.

Asante
Samahani mkuu, kwahiyo police ndo hupima na kujua ubora wa bidhaa? Kwamba wao wanajua fake na og?

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mimi kilio changu ni kipo kwenye earphones, Aisee huu mwaka nimetumia zikifikazo 20 coz kila mwezi earphone 2 zinaharibika

Kwamba mm ndo nakosea matumizi yake?
Si wewe tu, wengi hufikia hisia kama zako, kuwa u mtumiaji mbaya, kumbe vitu havina ubora. Mara kadhaa nimeona mabati yenye kutu kwenye nyumba zinazoendelea kujengwa!
 
Back
Top Bottom