majini

  1. LaRosa

    JamiiForums Tanzania Waliowahi kutolewa majini/Mashetwani

    Katika maisha yangu sijawahi kuona mtu amepona na kutolewa majini akiwa fresha and comfortable na kupona kabisa na majini yasirudi tena. Nimeona tu Kuna Namna nyingi za kutoa majini na Mashetwani.. mosi ni kwa maombi ya wachungaji au manabii wa makanisa nimeona kwenye TV wakiwashika watu na...
  2. Funa the Wild

    JamiiForums Tanzania Maktaba ya Utalii

    Utalii wa Majini Miongoni mwa maeneo ambayo utaweza kufanya utalii wa majini na nchi kavu basi hifadhi ya taifa Saadan ni miongoni mwa hifadhi ambayo inaweza kukupatia utalii wa aina iyo. Hifadhi hii ipo mkoa wa Tanga nchini Tanzania. Ni hifadhi ambayo utafahamu mambo mbali mbali yanayohusiana...
  3. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Ona Majibu ya fumbo la "Ufanye nini upo mtini kuna nyoka, majini kuna mamba na nchi kavu kuna simba"

    Mwamba amejitahidi kufikiria. Nilicho muelewa huyu mwamba ni kwamba " Always use ur problem as a solution to ur problem". Ukipatwa na tatizo zaidi ya moja kwa wakati mmoja chagua tatizo moja Kati yao na ulitumie ku solve matatizo mengine. Uzi umekamilika now unaweza toa maoni yako 1...
  4. Poker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Majini yanampanda kichwani kila tukiwa katikati ya mizagumuano!

    Habari za jioni wanajamii wote natumai mu wazima wa afya tele! Nakwawale ambao sio wazima wa afya MUNGU awajaalie mrejee katika afya zenu haraka! Nina mpenzi wangu tuko naye kwenye mahusiano huu mwaka wa 2, ila shida kila tukiwa tunazagamuana majini yanampanda kichwani na mara aanze kunikaba...
  5. Mzee Saliboko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Swali kuhusu Majini na Mapenzi...

    Tumeona watu wanaoana au wanatafuta majini kuwa wake/waume/wachumba zao. Hoja yangu kubwa ipo kwenye tendo la ndoa. Je, majini nayo huwa yanahisi utamu au raha kufanya mapenzi na binadamu? au yanamridhisha tu binadamu? Sina mpango nayo ila nayatafuta maarifa. Ahsante
  6. Saidi gawa

    JamiiForums Tanzania Mabaharia wana umuhimu gani katika uokozi na usalama majini?

    Wakuu habari zenu. Hivi mabaharia wana umuhimu gani katika suala la uokozi na usalama majini?
  7. Liutenant

    JamiiForums Tanzania Kiranga anatoa sadaka na anaamini stori za majini lakini haamini uwepo wa Mungu

    Msome hapa chini cc Kiranga
  8. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Tunauza spea zote za vyombo vya majini(Marine Spares and Equipments)

    Wadau wa vyombo vya majini tunauza material za fiber, spea za injini za Boti,injini za Boti, Jet Ski, Marine Quadbikes,GPS na Fish finders. Kwa wanaohitaji Jumla na rejareja Jet Ski,water sports tools, outboard engines, Garmin GPS na Garmin Fish finders zinapatikana. Tunatoa mafunzo ya...
  9. WENYELE

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Used Car ndo imetoka Japan iko majini inakuja

    Wakuu nawatakia Jumatatu na week njema yenye mafanikio. Niende kwenye maada kwa wale wazoefu wanipe ushauri. Kwanza ni kiri kwamba jukwaa hili ndo lilinipa maamuzi ya kuagiza gari na kukwepa kupigwa hapa mjini. Gari ndo imetoka KOBE, Japan jana inategemea kufika huku mwezi wa nne. Je ikifika...
  10. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukutana na mtu aliyepandisha jini/ mwenye majini? Tupe uzoefu wako

    Nakumbuka miaka ya nyuma kulikiwa na mkuu wa mkoa mwanamke jijini Dar es Salaam. Huyu mama hakuwa mwingine ila Mary Chipungahelo au waweza mama Chips. Huyu mama alikuwa ni mbabe haswa, asiyeyumbishwa wala kuburuzwa wala kupelekeshwa. Ameshawahi kumzingua kichizi Jenerali Ulimwengu. Basi...
  11. salvatorychuma

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa vyombo vya majini?

    Msaada kwa wataalamu wa vyombo vya majini; FIRE BARGE ndio nn, na bei zake zikoje?na Identification barge with name and check number inauzwaje pia?
  12. N

    JamiiForums Tanzania Imani, Miujiza na Upendo, hivi majini ya kiswahili yataelewa kiingereza?

    Wadau nipo najiuliza kwa sauti hili kongamano la kidini ambalo linatrend sana hivi sasa la Imani, Miujiza na Upendo (sina uhakika kama linaitwa hivyo lakini mmenielewa) limenifanya nijifikirishe kwamba mchungaji/ Mtumishi ni mzungu/wazungu. Je, kwenye hiyo miujiza ataweza kuyakimbiza...
  13. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania "Jaji Mwenzangu Luvanda" Machozi ya samaki majini hayatakufikia wewe na kizazi chako mpaka cha nne, tekeleza maagizo

    Kwanini ‘Jaji wa Kimkakati’ Elinaza Luvanda anasikiliza kesi ya Mbowe? Hana hatia, huenda anatekeleza maagizo toka juu kama ilivyo kwa Msajili /Registrar Simba wa Mahakama kuu amewekwa Kisutu kwa mikakati maalum. Juzi Jaji Elinaza Luvanda alitupilia mbali pingamizi la awali ambalo lilikuwa...
  14. JASUSI LA MBINGUNI

    JamiiForums Tanzania Kwanini wachawi hutupia watu majini?

    Wachawi wanaporoga sio lazima wakutumie majini ama mapepo. Wanaweza kukuloga kwa laana za kichawi, ama kukulisha uchafu nk Je, ni kwa wakati gani wachawi wanalazimika kutumia majini kumloga mtu? Kwanini watumie jini na sio uchawi wa kawaida? cc Mshana Jr Rakims
  15. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wajue Malaika, Majini na Binadamu Kwa ufupi

    WAJUE MALAIKA, MAJINI NA BINADAMU KWA UFUPI. Kwa Mkono wa, Robert Heriel. Leo tutajadili Kwa ufupi Sana habari za viumbe watatu ambao ni Malaika, Majini na Binadamu. Mada hii inaweza kuwafikirishi mno, mada Tata lakini haitatufanya tusiijadili. Niite Taikon wa Fasihi, Mwana kutoka Nyota ya...
  16. B

    JamiiForums Tanzania Mada yenye ukakasi: Majini yanayoishi nasi hapa duniani yenye umbo la kibinadamu (Demons/fallen angels in human form)

    Hi guys Hapa duniani si kila binadamu unaemuona ni binadamu kweli, haya mambo nimeyafahamu baada ya mm kufanya research yangu mtandaoni, kwa kusoma shuhuda za walokole kama kina rachel mushala wa facebook, waliomtumikia shetani na baadae kuokoka, pamoja na kuchanganya akili zangu. Majini huwa...
  17. L

    JamiiForums Tanzania Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

    Kuna nadharia za ajabu sana Africa ambazo huwezi ziona dunia ya kwanza. Uchawi ni nini. Nani ambaye anaweza kutupa proof uchawi upo? Nani alimuona mchawi? Nani anaujua uchawi? Uchawi una nguvu gani? Hayo Majini ni nini? Hakuna cha majini wala babu yake na majini? Hizo ni drama za kufikirika...
  18. W

    JamiiForums Tanzania Mashine moja inaweza kutoa kila aina ya malisho ya majini

    1 Teknolojia bora ya kudhibiti saizi ya chembe ya kulisha Matokeo mengi ya utafiti nyumbani na nje ya nchi yanaonyesha kuwa wanyama wa uzao maalum na hatua maalum ya kulisha wana saizi bora ya chembe ya kusagwa kwa bidhaa zilizo na fomula maalum ya kulisha, na saizi hii ya chembe ya kusagwa ni...
  19. DR SANTOS

    JamiiForums Tanzania Je, bangi inaweza kufukuza majini?

    Poleni na majukumu wana JF, moja kwa moja kwenye hoja. Tunajua bangi (marijuana)ni mmea kama mimea mingine ambao unatokana na mbegu inayoitwa (cannabis) lakini ikitumika vibaya inaweza kukupa madhara, hasa ya kisaikolojia Kumekuwa na imani ya kwamba viumbe visivyoonekana kama majini vinaogopa...
  20. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Watanzania twendeni Congo tukawekeze Sekta ya Usafiri wa majini na mafuta

    Kila msaka fursa angalia hii clip uone mwenyewe fursa zilipo za biashara ya usafiri wa majini na mafuta Congo. Hizo baadhi tu lakini ukitizama hii Clip waweza gundua nyingi zaidi.
Back
Top Bottom