Tumeona watu wanaoana au wanatafuta majini kuwa wake/waume/wachumba zao. Hoja yangu kubwa ipo kwenye tendo la ndoa.
Je, majini nayo huwa yanahisi utamu au raha kufanya mapenzi na binadamu? au yanamridhisha tu binadamu? Sina mpango nayo ila nayatafuta maarifa.
Ahsante
Wadau wa vyombo vya majini tunauza material za fiber, spea za injini za Boti,injini za Boti, Jet Ski, Marine Quadbikes,GPS na Fish finders.
Kwa wanaohitaji Jumla na rejareja Jet Ski,water sports tools, outboard engines, Garmin GPS na Garmin Fish finders zinapatikana. Tunatoa mafunzo ya...
Wakuu nawatakia Jumatatu na week njema yenye mafanikio.
Niende kwenye maada kwa wale wazoefu wanipe ushauri. Kwanza ni kiri kwamba jukwaa hili ndo lilinipa maamuzi ya kuagiza gari na kukwepa kupigwa hapa mjini.
Gari ndo imetoka KOBE, Japan jana inategemea kufika huku mwezi wa nne. Je ikifika...
Nakumbuka miaka ya nyuma kulikiwa na mkuu wa mkoa mwanamke jijini Dar es Salaam. Huyu mama hakuwa mwingine ila Mary Chipungahelo au waweza mama Chips.
Huyu mama alikuwa ni mbabe haswa, asiyeyumbishwa wala kuburuzwa wala kupelekeshwa. Ameshawahi kumzingua kichizi Jenerali Ulimwengu.
Basi...
Wadau nipo najiuliza kwa sauti hili kongamano la kidini ambalo linatrend sana hivi sasa la Imani, Miujiza na Upendo (sina uhakika kama linaitwa hivyo lakini mmenielewa) limenifanya nijifikirishe kwamba mchungaji/ Mtumishi ni mzungu/wazungu.
Je, kwenye hiyo miujiza ataweza kuyakimbiza...
Kwanini ‘Jaji wa Kimkakati’ Elinaza Luvanda anasikiliza kesi ya Mbowe?
Hana hatia, huenda anatekeleza maagizo toka juu kama ilivyo kwa Msajili /Registrar Simba wa Mahakama kuu amewekwa Kisutu kwa mikakati maalum.
Juzi Jaji Elinaza Luvanda alitupilia mbali pingamizi la awali ambalo lilikuwa...
Wachawi wanaporoga sio lazima wakutumie majini ama mapepo.
Wanaweza kukuloga kwa laana za kichawi, ama kukulisha uchafu nk
Je, ni kwa wakati gani wachawi wanalazimika kutumia majini kumloga mtu?
Kwanini watumie jini na sio uchawi wa kawaida?
cc Mshana Jr
Rakims
WAJUE MALAIKA, MAJINI NA BINADAMU KWA UFUPI.
Kwa Mkono wa, Robert Heriel.
Leo tutajadili Kwa ufupi Sana habari za viumbe watatu ambao ni Malaika, Majini na Binadamu.
Mada hii inaweza kuwafikirishi mno, mada Tata lakini haitatufanya tusiijadili.
Niite Taikon wa Fasihi, Mwana kutoka Nyota ya...
Hi guys
Hapa duniani si kila binadamu unaemuona ni binadamu kweli, haya mambo nimeyafahamu baada ya mm kufanya research yangu mtandaoni, kwa kusoma shuhuda za walokole kama kina rachel mushala wa facebook, waliomtumikia shetani na baadae kuokoka, pamoja na kuchanganya akili zangu.
Majini huwa...
Kuna nadharia za ajabu sana Africa ambazo huwezi ziona dunia ya kwanza.
Uchawi ni nini. Nani ambaye anaweza kutupa proof uchawi upo? Nani alimuona mchawi? Nani anaujua uchawi? Uchawi una nguvu gani?
Hayo Majini ni nini? Hakuna cha majini wala babu yake na majini?
Hizo ni drama za kufikirika...
1 Teknolojia bora ya kudhibiti saizi ya chembe ya kulisha
Matokeo mengi ya utafiti nyumbani na nje ya nchi yanaonyesha kuwa wanyama wa uzao maalum na hatua maalum ya kulisha wana saizi bora ya chembe ya kusagwa kwa bidhaa zilizo na fomula maalum ya kulisha, na saizi hii ya chembe ya kusagwa ni...
Poleni na majukumu wana JF, moja kwa moja kwenye hoja.
Tunajua bangi (marijuana)ni mmea kama mimea mingine ambao unatokana na mbegu inayoitwa (cannabis) lakini ikitumika vibaya inaweza kukupa madhara, hasa ya kisaikolojia
Kumekuwa na imani ya kwamba viumbe visivyoonekana kama majini vinaogopa...
Kila msaka fursa angalia hii clip uone mwenyewe fursa zilipo za biashara ya usafiri wa majini na mafuta Congo. Hizo baadhi tu lakini ukitizama hii Clip waweza gundua nyingi zaidi.
Sheria kubana wasiovaa maboya yaja.
SERIKALI iko mbioni kutunga sheria itakayowaadhibu watu watakaopanda vyombo vya majini hususani mitumbwi bila kuvaa boya wakiwa baharini au ziwa lolote nchini.
Akizungumza wakati akitoa elimu kwa wananchi mkoani hapa katika Mwalo wa Ujaluoni, Lunazi, Kata ya...
Leo tarehe 20.12.2020 muda huu naandika nikiwa katika chombo cha Zan Fast Ferry (Zanzibar 2) tulitaraji kuondoka majira ya saa 10.15 jioni kwa mujibu wa ticket zetu ila katika hali isiyotarajiwa tumeondoka saa 10.55 jioni baada ya kupigwa na joto kali hatqri huku watoto wakipiga kelele kwa...
Uzi huu ni Kwa ajili ya wadau wa vyombo vya majini Kwa ajili ya shughuli za uvuvi,utalii na michezo.
Mnakaribiahwa Kwa ajili ya namna ya kufanya usajili,Sheria za vyombo vya majini, marekebisho, utunzaji, sehemu za kununua vipuri, changamoto za utumiaji vyombo, sehemu za kuunda boti na kununua...
Hivi ndivyo mdomo wake ulivyo kwa ndani
Picha na buzzfeed
Watu wengi wamekua wakijiuliza sana kuusu mdomo wake unavyotisha
Ukiingia kwenye account ya ig kwa brykim official kwa kutumia biology na illustrator ameelezea vyema kuusiana na mdomo wa kasa
Izo miba za mdomo kwa kasa humsaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.