Kwanini wachawi hutupia watu majini?

Kusema uchawi upo au haupo, Hutegemea na tafasili ya mhusika kuhusu huo uchawi.

Je uchawi ni nini?? kwa mtazamo wako ndugu Hakimu Mfawidhi
Uchawi ni uwezo wa binadamu kufanya matukio au mambo ambayo yako nuu ya uwezo wa kibinadamu kwa kutumia nguvu za ziada ambazo zinatolewa ama huyo mtu anawezeshwa na shetani ama mawakala wake.

Uwezo huo ni kama kutembea usiku ama mchana bila kuonwa na binadamu wenzake, kuingia kwenye nyumba bila ufunguo, uwezo wa kumletea binadamu mwingine ama kumtengenezea madhara kama ajali, ugonjwa, kifo ama ulemavu na mambo kama hayo.

Sasa vitu hivyo ni fikra tu kwani kwa uhalisia havipo na havijawahi kuwepo na wala uwezo kama huo haupo na haujawahi kuwepo.

Kukuta mtu ana mawazo kama hayo basi unajua kabisa akili hana.
 
Wachawi wanaporoga sio lazima wakutumie majini ama mapepo.

Wanaweza kukuloga kwa laana za kichawi, ama kukulisha uchafu nk

Je, ni kwa wakati gani wachawi wanalazimika kutumia majini kumloga mtu?

Kwanini watumie jini na sio uchawi wa kawaida?

cc Mshana Jr

Rakims
Wachawi nao huenda kwa level, kuna uchawi wa chini mpaka wa juu...

Tabia moja ya mchawi ni KUTOKATA TAMAA na KIBURI... Akianza anaanza na uchawi wa chini, ukimpiku, anakuja level inayofuata mpaka atakuja kwenye kukutupia jini..

Ila mwisho wa yote ni DAMU TAKATIFU YA MWANA WA MUNGU. Hayupo mchawi au jini mwenye kiburi kupita hiyo DAMU..
 
Uchawi ni uwezo wa binadamu kufanya matukio au mambo ambayo yako nuu ya uwezo wa kibinadamu kwa kutumia nguvu za ziada ambazo zinatolewa ama huyo mtu anawezeshwa na shetani ama mawakala wake.

Uwezo huo ni kama kutembea usiku ama mchana bila kuonwa na binadamu wenzake, kuingia kwenye nyumba bila ufunguo, uwezo wa kumletea binadamu mwingine ama kumtengenezea madhara kama ajali, ugonjwa, kifo ama ulemavu na mambo kama hayo.

Sasa vitu hivyo ni fikra tu kwani kwa uhalisia havipo na havijawahi kuwepo na wala uwezo kama huo haupo na haujawahi kuwepo.

Kukuta mtu ana mawazo kama hayo basi unajua kabisa akili hana.
Mkuu mfawidhi, wewe ni kada wa dini Fulani au mpagani?
 
Sasa vitu hivyo ni fikra tu kwani kwa uhalisia havipo na havijawahi kuwepo na wala uwezo kama huo haupo na haujawahi kuwepo.

Kukuta mtu ana mawazo kama hayo basi unajua kabisa akili hana.
Swali la nyongeza!
Je una amini katika dini na mafundisho ya dini?

Je wajua hata katika maandiko, ya dini, wachawi na uchawi umezungumziwa?
1629871830230.png


Je nini mtazamo wako katika hili?
 
Wachawi wanaporoga sio lazima wakutumie majini ama mapepo.

Wanaweza kukuloga kwa laana za kichawi, ama kukulisha uchafu nk

Je, ni kwa wakati gani wachawi wanalazimika kutumia majini kumloga mtu?

Kwanini watumie jini na sio uchawi wa kawaida?

cc Mshana Jr

Rakims
Asante
Uchawi ni kaliba yenye ujuzi tofauti tofauti
Kuna uchawi wa vitabu
Kuna uchawi wa tunguli
Kuna uchawi wa mapepo
Kuna uchawi wa majini nknk
Maranyingi kila aina ya uchawi una eneo lake....kwa mfano uchawi wa mawajini maranyingi hupatikana maeneo ya pwani
Kumbuka kila mchawi ana ujuzi wake na hawaingiliani kabisa., ni wale makonkodi pekee ndio wanaweza kuhodhi juzi kadhaa
 
Wachawi nao huenda kwa level, kuna uchawi wa chini mpaka wa juu...

Tabia moja ya mchawi ni KUTOKATA TAMAA na KIBURI... Akianza anaanza na uchawi wa chini, ukimpiku, anakuja level inayofuata mpaka atakuja kwenye kukutupia jini..

Ila mwisho wa yote ni DAMU TAKATIFU YA MWANA WA MUNGU. Hayupo mchawi au jini mwenye kiburi kupita hiyo DAMU..
Mchawi hana akili
 
Kama mwafrika alishindwa kuutumia uchawi asichukuliwe utumwani au asitawaliwe na wakoloni kwake uchawi una faida gani
 
Wachawi wanaporoga sio lazima wakutumie majini ama mapepo.

Wanaweza kukuloga kwa laana za kichawi, ama kukulisha uchafu nk

Je, ni kwa wakati gani wachawi wanalazimika kutumia majini kumloga mtu?

Kwanini watumie jini na sio uchawi wa kawaida?

cc Mshana Jr

Rakims
Mchawi alogi mtu bila sababu nyuma ya pazia? So kwanzia hapo ndipo atachagua kombora gani linamfaa muhusika kutokana na sababu husika?
 
Uchawi ni uwezo wa binadamu kufanya matukio au mambo ambayo yako nuu ya uwezo wa kibinadamu kwa kutumia nguvu za ziada ambazo zinatolewa ama huyo mtu anawezeshwa na shetani ama mawakala wake.

Uwezo huo ni kama kutembea usiku ama mchana bila kuonwa na binadamu wenzake, kuingia kwenye nyumba bila ufunguo, uwezo wa kumletea binadamu mwingine ama kumtengenezea madhara kama ajali, ugonjwa, kifo ama ulemavu na mambo kama hayo.

Sasa vitu hivyo ni fikra tu kwani kwa uhalisia havipo na havijawahi kuwepo na wala uwezo kama huo haupo na haujawahi kuwepo.

Kukuta mtu ana mawazo kama hayo basi unajua kabisa akili hana.
Inaovyoonekena wewe unamwabudu Ibilisi na Shetani. Kwenye dini zote zinaamini uchawi na hata wapagani na dini za asili zinaamini uchawi upo. Ina maana mitume na manabii wote walikuwa hawana akili kusema kwamba uchawi upo? Na baadhi ya mitume na manabii walipambana na huo uchawi moja kwa moja kama tunavyosoma kwenye maandiko matakatifu ya dini. Wewe ni nani hadi upinge wote hao mitume na manabii na hata wapagani? Au wewe ndiye ibilisi na shetani mwenyewe unataka kuendeleza uongo maana shetani ndiye mwasisi na baba wa uongo!
 
Wachawi wanaporoga sio lazima wakutumie majini ama mapepo.

Wanaweza kukuloga kwa laana za kichawi, ama kukulisha uchafu nk

Je, ni kwa wakati gani wachawi wanalazimika kutumia majini kumloga mtu?

Kwanini watumie jini na sio uchawi wa kawaida?

cc Mshana Jr

Rakims
Bila jini au majini hakuna uchawi hata mazingaombwe lazima jini awe mshirika hakuna cha mizimu wala mapepo yale ni majini na yana makabila yapo yanaopaa ndio hutumika kama ungo na yapo ya ardhini hutumia kutega uchawi au kuutuma. Wanga wachawi na waganga njia yao ni moja hakuna mganga anaetibu bila ya majini ndio yanayomuambia unasumbuliwa na nini na njia gani atumie.
Pia majini ya makabila na kuna makabila yenye nguvu na yasiyo na nguvu.

NB: Nitakueleza ukweli leo kijana mwenzangu pale unapopewa dawa na mganga aidha ya kuoga au kufukiza hizo ni gesha tu majini anakuwa stand by Kufanya kile anachoambiwa na kiti wake unapotumia dawa hizo anaanza kukufanikishia jambo lako.
Over
 
Back
Top Bottom