ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,235
- 2,123
Wadau nipo najiuliza kwa sauti hili kongamano la kidini ambalo linatrend sana hivi sasa la Imani, Miujiza na Upendo (sina uhakika kama linaitwa hivyo lakini mmenielewa) limenifanya nijifikirishe kwamba mchungaji/ Mtumishi ni mzungu/wazungu.
Je, kwenye hiyo miujiza ataweza kuyakimbiza mashetani au majini ya kibongo? manake nafikiri kuna majini machahce sana yanayoelewa kimombo.
Yaani sidhani kama hayo majini/mashetani ya kibongo yanaelewa kiingereza maana hata kama kuna mkalimani wa lugha lakini kauli yenye nguvu ya kiroho inatakiwa itoke moja kwa moja toka kwenye kinywa cha nabii/mtumishi mchungaji.
Naombeni mnipe ufafanuzi kwa hilo plz kwa wanaojua
Je, kwenye hiyo miujiza ataweza kuyakimbiza mashetani au majini ya kibongo? manake nafikiri kuna majini machahce sana yanayoelewa kimombo.
Yaani sidhani kama hayo majini/mashetani ya kibongo yanaelewa kiingereza maana hata kama kuna mkalimani wa lugha lakini kauli yenye nguvu ya kiroho inatakiwa itoke moja kwa moja toka kwenye kinywa cha nabii/mtumishi mchungaji.
Naombeni mnipe ufafanuzi kwa hilo plz kwa wanaojua