The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
Sisi miafrika ndio mibaguzi kupita wote. Cha kuhuzunisha tunabaguana wenyewe kwa wenyewe na kuchukiana.
Mungu amlinde na kumjalia afya na maisha marefu president Trump. Kitendo cha yeye siku ile kushika silaha ya hatarii kuliko zote THE HOLY BIBLE yani whitehouse tena kwakr ni kitonga.
Mungu pia kama kawaida yake azidi kuilinda na kuibariki Israel.
Pia asisahau kuwabariki Saudi Royal family na kumpa dogo MBS ujasiri uliotukuka.
Pia Mungu awabariki wakurdd.
Sisi wamatumbi wa nyarugusu tuko tayari kufa kuitetea Israel Wayahudi, Marekani na wazungu kwa jumla kwa Vyoyote vile tena kwa hiari na roho safi.
Liaanzisheni muone sasa tutakavyolundikana Israel makundi kwa makundi na kuform human shield kulizunguka taifa teule dhidi ya mafedhuli waliyoizunguka.
Huniambii kitu kuhusu Marekani na Israel!
Mungu amlinde na kumjalia afya na maisha marefu president Trump. Kitendo cha yeye siku ile kushika silaha ya hatarii kuliko zote THE HOLY BIBLE yani whitehouse tena kwakr ni kitonga.
Mungu pia kama kawaida yake azidi kuilinda na kuibariki Israel.
Pia asisahau kuwabariki Saudi Royal family na kumpa dogo MBS ujasiri uliotukuka.
Pia Mungu awabariki wakurdd.
Sisi wamatumbi wa nyarugusu tuko tayari kufa kuitetea Israel Wayahudi, Marekani na wazungu kwa jumla kwa Vyoyote vile tena kwa hiari na roho safi.
Liaanzisheni muone sasa tutakavyolundikana Israel makundi kwa makundi na kuform human shield kulizunguka taifa teule dhidi ya mafedhuli waliyoizunguka.
Huniambii kitu kuhusu Marekani na Israel!