Leo nimeenda kununua sabuni ya mche ya Jamaa, bei niliyoijua ni sh 2,000 kwa mche, kuanzia leo baadhi kila nilipofika nikajua nitapata kwa bei ya zamani nimeambiwa imepanda wanauza 2,200 hadi 2,400.
kati ya bidhaa ambazo wasio na uwezo huhitaji haswa ni Sabuni, Sukari, mafuta... vyote hivi...