mahakamani

  1. Rais wa zamani wa Sudan Omar Al Bashir afikishwa Mahakamani

    Rais aliyetolewa mamlakani wa Sudan Omar al-Bashir alifikishwa kortini siku ya Jumanne katika kesi yake iliyoanza kusikilizwa juu ya mapinduzi ya kijeshi ambayo yalipelekea kuchukua madaraka mnamo mwaka 1989. Akiwa ni rais wa zamani wa jamhuri, Bashir alionekana katika hali nzuri wakati...
  2. Uchebe afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumshambulia Shilole

    Dar es Salaam. Ashiraf Geuza maarufu' Uchebe' amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni akikabiliwa na kosa la kumjeruhi Zuwena Mohamed maarufu 'Shilole' na kumsababishia maumivu makali. Akisoma hati ya mashtaka Wakili wa Serikali, Chesensi Gavyole mbele Hakimu Mkazi Hudi Hudi, alidai...
  3. Hawa wakurugenzi wa Tume ya Uchaguzi waliofanya dhuluma dhidi ya wapinzani hawawezi kushitakiwa Mahakamani?

    Wanasheria tupeni madini. Kinachoonekana ni kwamba wakurugenzi wameamua. Wanavuruga kwa makusudi kabisa zoezi zima la uchaguzi na hivyo kutishia kuvuruga amani ya inchi. Najuliza, ina maana Hao jamaa wana kinga ya kutoshitakiwa? Kwasababu kama mwendo ni huu nibasi afadhali kusiwepo na hizi...
  4. Shahidi ashindwa kumleta Tundu Lissu Mahakamani Kisutu, Kesi yaahirishwa hadi tarehe 24 Septemba 2020

    Salaam Wanajamvi, Tundu Lissu ameshindwa kuhudhuria kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu katika kesi ya uchochezi namba 236 ya mwaka 2017 na ile namba 123 ya mwaka 2017 kutokana kuchelewa kukamilisha taratibu za urejesheji fomu ya utuzi wa kugombea urais wa Tanzania. Leo tarehe 26 Agosti...
  5. Kupita bila kupingwa - is this democracy too?

    BARUA YA WAZI KWA MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI YA TAIFA WALIOPITISHWA BILA KUPINGWA HAWASTAHILI KUWA WABUNGE BILA YA KUCHAGULIWA Kuna kundi la wagombea ambao hadi hivi wanaamini kuwa wao ni wabunge halali wa Jamhuri ya Muungano na hivyo wanasubiri siku ya kuapishwa ili wachukue nafasi zao...
  6. J

    Lissu awaalika Wananchi wa Dar na mikoa ya jirani kufika Mahakamani Kisutu kwa wingi tarehe 26 kusikiliza shauri lake

    Mgombea urais wa CHADEMA, Mhe. Tundu Lissu amesema atahudhuria mahakama ya Kisutu kujibu kesi inayomkabili siku ya tarehe 26/08/2020 baada ya kuwa amekamilisha matakwa yote ya kisheria kule Tume ya Uchaguzi. Tundu Lisu amesema kesi yake ni ya wazi (open case) hivyo amewaomba Wanachama wa...
  7. Manyara: Hakimu Mfawidhi afikishwa Mahakamani kwa kuomba na kupokea rushwa Tsh. 150,000

    Hakimu mfawidhi wa Mahakama ya Mwanzo Magugu Ndugu Adeltus Richard Rweyendera, amefikishwa mahakamani na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Manyara kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa ya shilingi 150,000. Akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari, Kaimu mkuu wa...
  8. Serikali yashindwa tena kuwaleta Mahakamani watuhumiwa wa Ugaidi, yasema italihamisha shauri Mahakama Kuu

    SERIKALI YASHINDWA TENA KUWALETA MASHEIKH MAHAKAMANI. Mawakili wanaowatetea Masheikh (Uamsho) walifika Mahakamani leo kama kawaida yao. Hata hivyo serikali haikuwaleta viongozi hao wa Dini kutoka gerezani. Shauri lilipoitwa mbele ya hakimu upande wa serikali ulidai kuwa sasa wanashughulikia...
  9. Kenya: Taharuki baada ya raia wa kigeni wanaokabiliana na kesi ya utoaji rushwa kutinga mahakamani na PPE

    Utaratibu wa kesi katika Mahakama jijini Mombasa Alhamisi ulilazimika kuahirishwa baada ya raia watatu wa China kuingia mahakamani huku wamevalia Vifaa vya Kinga ya Kibinafsi (PPE). Hakimu alilazimika kuahirisha kusikilizwa kwa kesi hiyo baada ya kudhani watuhumiwa hao ni Maafisa wa Wizara ya...
  10. Tabora: Mwanamke afikishwa Mahakamani kwa kuwaingiza vidole sehemu za siri watoto wa majirani zake

    Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Irene James mwenye miaka 36 amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Tabora kwa tuhuma za kuwafanyia unyanyasaji wa kingono watoto saba (7) wa kike wenye umri kati ya miaka Minne (4) hadi Saba (7) ambao ni watoto wa majirani zake. Akisoma maelezo ya...
  11. Mwijaku afikishwa Kisutu na kushtakiwa kusambaza picha za utupu. Ashindwa kutimiza masharti ya dhamana

    Mwijaku ambaye ni miongoni mwa watia nia waliojitokeza kuomba ubunge kwa tiketi ya CCM, amefikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkaazi Kisutu kwa kusambaza picha za utupu kwenye mtandao wa Whatsapp. Inadaiwa alitenda kosa hilo kati ya Septemba 15 na Oktoba 10 mwaka 2019 . ------ Aliyekuwa mtia...
  12. Viongozi wa BAVICHA Singida kufikishwa Mahakamani leo

    Hawa vijana wanateseka kwa sababu za kishamba sana zilizoambatana na njama ya Jeshi la polisi kwa lengo la kuokoa ccm Singida , leo kuna rufaa ya kutaka waachiwe kwa dhamana Mashitaka yao ni vituko vitupu ! kuna haja ya CHADEMA kuweka uchunguzi maalum kwa jeshi la polisi Singida ili kufahamu...
  13. T

    Kama ilivyokuwa kwa Mtikila kufungua kesi ya Mgombea Binafsi, Tundu Lissu kufungua kesi kuhoji ni kwanini matokeo ya Urais hayapingwi Mahakamani!

    Tayari mpango mzuri na wenye maana kubwa sana katika Taifa letu unaendelea kuandaliwa. Uchaguzi wa Mwaka 2020 utakapokamilika tu na iwapo CCM watakuwa wameshinda kuna kesi itafunguliwa kwa umakini wa hali ya juu kuhusu kwa nini matokeo ya Urais hayapingwi Mahakamani. Kinachozuiwa nchini mwetu...
  14. Mmiliki wa kituo cha mafuta kufikishwa mahakamani kwa uhujumu uchumi

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa wilayani Simanjiro mkoani Manyara kwa kushirikiana na ofisi ya Taifa ya mashtaka mnamo tarehe 22/06/2020 itamfikisha katika mahakama ya wilaya ya Simanjiro mmiliki wa kituo cha mafuta Simon Lemeya kilichopo Wilaya ya Simanjiro Simon Lemeya Tukai. Lemeya...
  15. Ernie Chambers mwanasiasa aliyefungua kesi mahakamani kumshtaki Mwenyezi Mungu

    Katika Jimbo la Nebraska nchini Marekani, Ernie Chambers akiwa mgombea wa Kwanza mweusi ngazi ya useneta na kuwa seneta wa Kwanza mweusi katika Jimbo Hilo. Pia akiwa seneta wa kwanza kutawala Jimbo Hilo kwa muda mrefu Sana. Kwa kile alichokitambua na kukiamini katika sheria Ni kuwa kila mtu...
  16. Zanzibar: CUF walalamika kuporwa ofisi na ACT Wazalendo. ACT yawajibu waende kudai Mahakamani na sio kwenye press

    Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu, amesema kuwa kama chama cha CUF wanadai kuwa ofisi zao zilizopo visiwani Zanzibar, zimechukuliwa na chama hicho, basi wapeleke malalamiko yao Mahakamani na siyo kwenye vyombo vya habari, na kutaja tarehe rasmi ya kuanza mchakato wa watia nia. Hayo...
  17. Katibu AMCOS afikishwa Mahakamani kwa uhujumu uchumi

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Itilima mkoa wa Simiyu jana imemfikisha mahakamani katibu wa Chama cha msingi cha Ushirika cha Mwanga kituo cha Nangale Wilayani humo Masanja Mbula kwa kesi ya uhujumu uchumi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na taasisi hiyo jana...
  18. Wafikishwa mahakamani kwa wizi wa zaidi ya Tsh. milioni 500

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Iringa imewafikisha mahakamani watuhumiwa nane kwa makosa 480 ya udanganyifu na kujipatia zaidi shilingi milioni 500 kutoka Chuo Kikuu cha Katoliki (RUCU) kilichopo mjini Iringa Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Iringa,- Mweli Kilimali amesema...
  19. Hoja 10 za Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu kuhusu Rais kutoshtakiwa mahakamani

    Ado Shaibu: ACT Wazalendo tumekuwa mstari wa mbele kuiwajibisha Serikali Mahakamani. Rais alipomwondosha CAG Prof. Assad kinyume na Katiba, Kiongozi wa Chama Ndugu Zitto Kabwe alimpeleka Mahakamani. Pia, Rais alipomteua Mwanasheria Mkuu wa Serikali asiye na vigezo vya kikatiba, nilimpeleka...
  20. Mabadiliko ya Sheria: Rais, Makamu wake, Jaji Mkuu, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge kutofunguliwa kesi Mahakamani

    MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) kwa kushirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wamepinga muswada wa sheria wa marekebiaho ya sheria mbalimbali nchini namba 3 wa mwaka 2020. THRDC na LHRC wametoa tamko la kupinga muswada huo leo Alhamisi tarehe 4 Juni 2020 mbele...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…