Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,599
- 217,991
Hawa vijana wanateseka kwa sababu za kishamba sana zilizoambatana na njama ya Jeshi la polisi kwa lengo la kuokoa ccm Singida , leo kuna rufaa ya kutaka waachiwe kwa dhamana
Mashitaka yao ni vituko vitupu ! kuna haja ya CHADEMA kuweka uchunguzi maalum kwa jeshi la polisi Singida ili kufahamu weledi wa RPC wake , na hatutegemei kusikia Jaji amepata dharula ama ameugua .
Mungu ibariki CHADEMA
UPDATES:
Kesi imeahirishwa hadi August 3 kwa vile Jaji Masaju anaumwa .