Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,233
- 8,779
SERIKALI YASHINDWA TENA KUWALETA MASHEIKH MAHAKAMANI.
Mawakili wanaowatetea Masheikh (Uamsho) walifika Mahakamani leo kama kawaida yao.
Hata hivyo serikali haikuwaleta viongozi hao wa Dini kutoka gerezani.
Shauri lilipoitwa mbele ya hakimu upande wa serikali ulidai kuwa sasa wanashughulikia kulihamishia shauri hilo Mahakama Kuu ili waanze kulisikiliza na kuthibitisha tuhuma za ugaidi wa Masheikh hao na wafuasi wao.
Pamoja na kutambua kwamba Masheikh hao wako jela kwa zaidi ya miaka sita sasa lakini hawakutaja lini shauri hilo litaanza kusikilizwa huko Mahakama Kuu.
Kwa hakika serikali ya CCM ni mtihani mkubwa kwa haki za raia.
Mawakili wanaowatetea Masheikh (Uamsho) walifika Mahakamani leo kama kawaida yao.
Hata hivyo serikali haikuwaleta viongozi hao wa Dini kutoka gerezani.
Shauri lilipoitwa mbele ya hakimu upande wa serikali ulidai kuwa sasa wanashughulikia kulihamishia shauri hilo Mahakama Kuu ili waanze kulisikiliza na kuthibitisha tuhuma za ugaidi wa Masheikh hao na wafuasi wao.
Pamoja na kutambua kwamba Masheikh hao wako jela kwa zaidi ya miaka sita sasa lakini hawakutaja lini shauri hilo litaanza kusikilizwa huko Mahakama Kuu.
Kwa hakika serikali ya CCM ni mtihani mkubwa kwa haki za raia.