Hawa wakurugenzi wa Tume ya Uchaguzi waliofanya dhuluma dhidi ya wapinzani hawawezi kushitakiwa Mahakamani?

kagoshima

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
2,631
5,137
Wanasheria tupeni madini. Kinachoonekana ni kwamba wakurugenzi wameamua. Wanavuruga kwa makusudi kabisa zoezi zima la uchaguzi na hivyo kutishia kuvuruga amani ya inchi.

Najuliza, ina maana Hao jamaa wana kinga ya kutoshitakiwa? Kwasababu kama mwendo ni huu nibasi afadhali kusiwepo na hizi chaguzi. Maana kwenye uchaguzi huu na huko tuendako kunauwezekano wagombea wote wa upinzani either form zao kutokupokelewa au wata shindwishwa hata kama wameshinda kura.

Lakini kama inawezekana kuwashitaki mahakamani basi na washitakiwe ili iwe fundisho kwa wengine. Kingine nilichojifunza kesi ya wangwe dhidi ya jamhuri kuhusu wakurugenzi wa tume ya uchaguzi ilikuwa muhimu sana kwa mustakabari wa taifa hili na vizazi vijavyo.
 
Watz wanaowajibu wa kuukomesha uhuni ufanywao na Hawa wakurugenzi ili kudumisha amani yetu, wagombea wa ccm baada ya kuona hawana uwezo wa kushinda utumia pesa zao za kampeni kuwahonga wakurugenzi na polisi ili wapite bila kupingwa kwa kuwanyima wananchi haki ya kuchagua viongozi wawatakao huu Ni uhuni,

Haki ya wananchi kuwachagua wawakilishi wao haitakiwi kuwa na vipingamizi vyovyote eti kubandika tu picha wananchi wananyimwa haki zao.
 
Ni utapiamlo wa akili mwanaume kuhatarisha familia yako kwa kuhongwa gari la kutembelea ili upindishe haki kumfurahisha mwanaume mwenzako. Hizi dhambi zitawatafuna Sana Kama zilivowatafuna wahunga juhudi
 
Wanasheria tupeni madini. Kinachoonekana ni kwamba wakurugenzi wameamua. Wanavuruga kwa makusudi kabisa zoezi zima la uchaguzi na hivyo kutishia kuvuruga amani ya inchi.

Najuliza, ina maana Hao jamaa wana kinga ya kutoshitakiwa? Kwasababu kama mwendo ni huu nibasi afadhali kusiwepo na hizi chaguzi. Maana kwenye uchaguzi huu na huko tuendako kunauwezekano wagombea wote wa upinzani either form zao kutokupokelewa au wata shindwishwa hata kama wameshinda kura.

Lakini kama inawezekana kuwashitaki mahakamani basi na washitakiwe ili iwe fundisho kwa wengine. Kingine nilichojifunza kesi ya wangwe dhidi ya jamhuri kuhusu wakurugenzi wa tume ya uchaguzi ilikuwa muhimu sana kwa mustakabari wa taifa hili na vizazi vijavyo.
Wote hao ni mawakala wa ccm na wanateuliwa na rais, ndio ujue ubovu wa katiba tuliyonayo.
 
Wanasheria tupeni madini. Kinachoonekana ni kwamba wakurugenzi wameamua. Wanavuruga kwa makusudi kabisa zoezi zima la uchaguzi na hivyo kutishia kuvuruga amani ya inchi.

Najuliza, ina maana Hao jamaa wana kinga ya kutoshitakiwa? Kwasababu kama mwendo ni huu nibasi afadhali kusiwepo na hizi chaguzi. Maana kwenye uchaguzi huu na huko tuendako kunauwezekano wagombea wote wa upinzani either form zao kutokupokelewa au wata shindwishwa hata kama wameshinda kura.

Lakini kama inawezekana kuwashitaki mahakamani basi na washitakiwe ili iwe fundisho kwa wengine. Kingine nilichojifunza kesi ya wangwe dhidi ya jamhuri kuhusu wakurugenzi wa tume ya uchaguzi ilikuwa muhimu sana kwa mustakabari wa taifa hili na vizazi vijavyo.
Wananchi ndiyo mahakama yenyewe, na na wafanye hukumu ile ambayo wao wenyewe wanaiona inafaa. Kama kuwachomea nyumba zao ni sawa, kama kuwamwagia tindikali ni sawa, kama kuwa dili kishirikina ni sawa tu, na hata mengine yafananayo na hayo.

Kidonda kitokanacho na kupokwa haki ni maumivu ambayo si rahisi kusahaulika. Hivyo ni lazima hukumu zao zipitishwe kwa vigezo vya kishetani kulingana na ushetani wao walioutenda.
 
Back
Top Bottom