Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,001
- 9,866
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Iringa imewafikisha mahakamani watuhumiwa nane kwa makosa 480 ya udanganyifu na kujipatia zaidi shilingi milioni 500 kutoka Chuo Kikuu cha Katoliki (RUCU) kilichopo mjini Iringa
Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Iringa,- Mweli Kilimali amesema watuhumiwa hao wametenda makosa hayo kati ya mwaka 2014 na 2019, wakifanya kazi ya kufundisha RUCU huku wakijua ni waajiriwa wa serikali, hivyo kupata mishahara miwili kinyume na sheria za utumishi
Chanzo: TBC
Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Iringa,- Mweli Kilimali amesema watuhumiwa hao wametenda makosa hayo kati ya mwaka 2014 na 2019, wakifanya kazi ya kufundisha RUCU huku wakijua ni waajiriwa wa serikali, hivyo kupata mishahara miwili kinyume na sheria za utumishi
Chanzo: TBC