johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,958
- 141,951
Mgombea urais wa CHADEMA, Mhe. Tundu Lissu amesema atahudhuria mahakama ya Kisutu kujibu kesi inayomkabili siku ya tarehe 26/08/2020 baada ya kuwa amekamilisha matakwa yote ya kisheria kule Tume ya Uchaguzi.
Tundu Lisu amesema kesi yake ni ya wazi (open case) hivyo amewaomba Wanachama wa CHADEMA na watu wote wenye mapenzi mema kumsindikiza mahakamani siku hiyo.
Chanzo: Star TV Habari!
Tundu Lisu amesema kesi yake ni ya wazi (open case) hivyo amewaomba Wanachama wa CHADEMA na watu wote wenye mapenzi mema kumsindikiza mahakamani siku hiyo.
Chanzo: Star TV Habari!