Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 2,162
- 7,364
Unajua kizazi cha leo kukuta dogo under 30 anamiliki kampuni au yuko financial freedom ni simple sana, wakati sisi millennia tulipata stable economy 40+
Millennia waliamini kusoma ni ufunguo wa maisha, matokeo yake wameshika viti ofisini hawataki kwenda kusoma kuongeza elimu, akipata likizo hataki kuondoka.
Millenia walikua wabinafsi sana hasa kwenye biashara zao, mbaya zaidi waliwabania mpaka watoto zao kwenye michongo ya biashara, waliwaweka mbali sana na biashara, ila hawa GEN Z wanaforce Sana kwenye harakati naamini watakuwa wazazi bora kwa watoto wao hasa kuwapa elimu ya tofauti na shule.
Gen Z ni wamoto hawanyenyekei watu kazini, wanaamini kuna kupata kwa kujitafutia, ni rahisi kumkuta daktari aliyegraduate muhimbili akifanya harakati zake mtaani akifanya kile anachokiamini, nimeona Gen z akiaacha kazi mwaka mmoja baada ya kuajiriwa na kuingia mtaani kufanya mitikasi yake..
Ni kizazi kichachojua haki zao, sio kizazi cha kupewa kanga na T-shirt then wapokee mateso ya miaka 5, ni watj wa mabadiliko.
Gen Z ni kizazi chenye ufaulu mkubwa kuliko millenia , millenia walishindwa shule option yao wakakimbilia biashara Ila Gen Z wanafaulu sana na wanafanya mitikasi mingine
Nb. Wapo Gen Z wachache ni watu wa hovyo kuliko kizazi chochote kile.
Millennia waliamini kusoma ni ufunguo wa maisha, matokeo yake wameshika viti ofisini hawataki kwenda kusoma kuongeza elimu, akipata likizo hataki kuondoka.
Millenia walikua wabinafsi sana hasa kwenye biashara zao, mbaya zaidi waliwabania mpaka watoto zao kwenye michongo ya biashara, waliwaweka mbali sana na biashara, ila hawa GEN Z wanaforce Sana kwenye harakati naamini watakuwa wazazi bora kwa watoto wao hasa kuwapa elimu ya tofauti na shule.
Gen Z ni wamoto hawanyenyekei watu kazini, wanaamini kuna kupata kwa kujitafutia, ni rahisi kumkuta daktari aliyegraduate muhimbili akifanya harakati zake mtaani akifanya kile anachokiamini, nimeona Gen z akiaacha kazi mwaka mmoja baada ya kuajiriwa na kuingia mtaani kufanya mitikasi yake..
Ni kizazi kichachojua haki zao, sio kizazi cha kupewa kanga na T-shirt then wapokee mateso ya miaka 5, ni watj wa mabadiliko.
Gen Z ni kizazi chenye ufaulu mkubwa kuliko millenia , millenia walishindwa shule option yao wakakimbilia biashara Ila Gen Z wanafaulu sana na wanafanya mitikasi mingine
Nb. Wapo Gen Z wachache ni watu wa hovyo kuliko kizazi chochote kile.