maeneo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    JamiiForums Tanzania Hivi serikali imeruhusu wasichana kucheza uchi wa mnyama kwenye kumbi za starehe? Hali inatisha!

    Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mimi Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama. Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya sana. Ni...
  2. MK254

    JamiiForums Tanzania M23 wakutana na aliyekua Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, waendelea kuachia maeneo

    Wakubali kuachia mkoa wote wa Kaskazini mwa Kivu, kama tulivyosema amani DRC ni kwa hiari au shari lakini lazima ipatikane, hamna taifa ndani ya EAC litaruhusiwa kuwa na mavita vita ndani. ====== Leaders of the M23 rebel group met with regional peace facilitator, former Kenyan President Uhuru...
  3. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Kupiga Honi ovyo au maeneo ya Shule, Mahakamani na Hospitali ni kosa kisheria

    Dereva anatakiwa kutumia honi tu iwapo ni lazima katika kuwaonya watumiaji wengine wa barabara au kuwajulisha kuwa kuna gari nyingie ipo karibu nao. Sheria ya Usalama Barabarani ya mwaka 1973 Kifungu cha 39 (3) Sura ya 168 inawakataza Madereva kutumia Honi katika #Kusalimia, Kuonesha hisia...
  4. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Maeneo ya Ukraine yaliyokwapuliwa na Urusi kwa mkakati maalumu

    Haya maeneo ambayo Ukraine hataki kwenda meza ya mazungumzo pasipo kukabidhiwa .Russia amekwapua maeneo hayo kwa ajili ya mkakati wake wa kuikabili NATO. Kama Ukraine atang'ang'ana na mpango wake wa kwenda NATO hayo maeneo asahau katika ramani ya Ukraine. Ukraine ameshupaza shingo na NATO yake...
  5. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania M23 waendelea kuachia maeneo kwa jeshi ya EAC

    Hongera EAC kwa kulichukua hili....... Congolese rebels M23 say they will on Thursday pull out of Rumangabo, a military camp in Rutshuru, North Kivu, they had occupied, in adherence to calls for a ceasefire under the regional arrangement. This will become the second occupied territory the...
  6. W

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Eneo kwenye fensi kubwa na majengo linauzwa 70 Milioni, Kibaha kwa Mathiasi

    ENEO: Ukubwa wa 6,196 sqm (mita za mraba). Ambalo limeendelezwa kwa kujengwa ukuta na majengo ya matumizi mbalimbali ambayo yapo katika hatua za kumalizika. umeme umekwisha fikishwa wa “three phase”. Eneo lipo karibu na shule ya primary na secondary ya St. Flora/Mikongeni, lipo kwenye barabara...
  7. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Maeneo mengi ya Dar es Salaam yananuka kinyesi

    Direct kwenye mada, Dar es salaam hasa Uswahilini kunanuka kinyesi. Ila cha ajabu wananchi wa maeneo husika wako comfortable wanakula na kufanya shughuli zao maeneo yanayonuka kinyesi.
  8. MK254

    JamiiForums Tanzania M23 waanza kuachia maeneo

    Hizi ni hatua nzuri kuelekea kupata amani ya kudumu DRC. Feared Congolese rebel group M23 on Friday agreed to withdraw from its positions in Kibumba, 20 kilometres from Goma in the eastern Democratic Republic of Congo, showing the first signs of thawing peace and respite for civilians. The...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Nawamiss Watanzania. Nikirudi huko kwenu naomba Mnitembeze haya maeneo nimeyasikia wenzenu wakiyataja Huku niliko

    Unajua sisi wengine hatuna maringo au kujitenga na watu wenye njaa au shida. Wale jamaa nliwapa pesa wakae Hotel nzuri jana siku nzima walikuwa wananitafuta. Si hakukuwa na match. So wakaona wapate muda wa kuona Jiji na mimi. Wamekuja na mademu wao na mimi wameniletea wawili. Wasichana wenyewe...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Wajuzi wa biashara wa maeneo haya, nipeni mbili tatu!

    Habari za mchana wana JamiiForums na wapenzi wa jukwaa la Biashara na Ujasiriamali. Nimekuja kwenu kuomba ushauri na sitaki kuwachosha, naenda moja kwa moja kwenye mada. Haya wanajamvi, ndugu yenu naondoka hapa Dar es Salaam naingia mkoani kwa shughuli za utafutaji. Naombeni ushauri kati ya...
  11. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa barabara inayounganisha mikoa mitatu ya Dodoma, Tanga na Singida itapitia maeneo gani?

    Nimemsikia Waziri Ujenzi, Profesa Mbarawa akisema kunaujenzi wa barabara inayounganisha mikoa mitatu ya Dodoma, Tanga na Singida. Hii barabara mpya itapitia maeneo gani au wilaya zipi ndani ya hiyo mikoa mitatu aliyoitaja? Mwenye uelewa tafafhali ninahisi Prof. ametupiga changa la macho. Au...
  12. The Supreme Conqueror

    JamiiForums Tanzania Maeneo 6 Duniani ambapo jua halizami

    6 places on Earth where the sun never sets! Our routine revolves around 24 hours a day, with around 12 hours of sunlight, and the remaining hours are night time. But, did you know that there are places across the world where the sun does not go down for more than 70 days? Imagine how...
  13. The Supreme Conqueror

    JamiiForums Tanzania Maeneo 6 Duniani ambapo jua halizami

    6 places on Earth where the sun never sets! Our routine revolves around 24 hours a day, with around 12 hours of sunlight, and the remaining hours are night time. But, did you know that there are places across the world where the sun does not go down for more than 70 days? Imagine how...
  14. Akilihuru

    JamiiForums Tanzania Manispaa ipi ya Dar imeendelea zaidi?

    Ishu vipi wakuu, Wakubwa leo kuna swali linalosumbua baadhi ya watu wanaoishi katika jiji letu kubwa la Dar es salaam. Swali lenyewe linahusu wilaya zetu tano za mkoa huu wa Dar es salaam. Yani wilaya 1) Kinondoni 2) Ilala 3) Ubungo 4) Temeke 5) Kigamboni Swali lililopo ni watu kutaka kujua...
  15. Jemima Mrembo

    JamiiForums Tanzania Nimeuziwa mbwa maeneo ya Victoria, nilipomfikisha nyumbani mume wangu akasema eti sio mbwa ni fisi

    Jana jioni nilipokuwa nikitoka kazini, nikafika Victoria, nikakuta kuna jamaa ana mbwa watatu, wawili wakubwa na puppy mmoja. Nikavutiwa na puppy nikaenda naye nyumbani. Mume wangu alirudi akiwa amechoka na amepiga mambo yake, lakini nilimjulisha kuwa nimenunua mbwa. Asubuhi ya leo akaenda...
  16. Equation x

    JamiiForums Tanzania Maeneo haya yakiboreshwa, yatapunguza foleni mahospitalini pamoja na umauti kwa wagonjwa

    Nimejaribu kutembelea baadhi ya mahospitali, changamoto kubwa niliyokutana nayo ni msongamano wa wagonjwa, kuwa kwenye foleni ili kupata huduma. Wengine wanakuwa wametoka majumbani tangu asubuhi na wanamaliza siku nzima wanakuwa hawajapata huduma kwa wakati. Kwa mtazamo wangu, hii changamoto...
  17. kagoshima

    JamiiForums Tanzania IRIS-T limedungua cruise missle 44 kati ya 50 zilizorushwa na Urusi kwenye maeneo ya Raia na miundo mbinu

    Hilo dude hilo. missles 46 kati ya 50 zimechakazwa. zilikua zinalenga miundo mbinu na makazi ya raia
  18. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Tafadhali wakazi wa Maeneo haya hebu tupeane 'updates' za Maji kutoka ili angalau Leo tuoge tusinuke

    1. Masaki 2. Kawe 3. Oysterbay 4. Mikocheni 5. Mbezi Beach 6. Mwenge 7. Kijitonyama Nasubiri kwa hamu tu updates zenu.
  19. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania Suluhisho la haraka litafutwe kuondoa harufu mbaya maeneo ya Kivukoni

    Ndugu wananchi, leo nakuja na mada ngumu kidogo. Mazoea ya kitu hayahalalishi kwamba jambo hilo ni sawa. Linaweza kuwa tatizo lakini mazoea yakakufanya usione umuhimu wa kulitatua. Tumekuwa tunaishi miaka mingi na uwepo wa soko la samaki pale Kivukoni au wengi wanapaita Ferry. Soko lile pamoja...
  20. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania DOKEZO DAWASA yatoa notisi ya kusitisha usambazaji wa maji ya Visima kwa baadhi ya Maeneo ya Jiji la Dar es salaam

    Mamlaka ya Huduma za Usambazaji wa Maji na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam(DAWASA) imetoa agizo la kusitisha biashara ya usambazaji wa maji ya visima katika baadhi ya maeneo ya jiji la Dar es salaam ndani ya siku thelathini (30) kabla hatua kali za kisheria hazijachukuliwa kwa wahusika. Agizo...
Back
Top Bottom