Kati ya vitu vinne alivyovisema mwalimu Nyerere ili TAIFA liendelee ni WATU. Ukitoa uongozi bora, ardhi na siasa safi. Tatizo ni kwamba watu hawajioni tena sehemu muhimu katika kuliendeleza TAIFA lao, najua anguko la uzalendo ni sababu kuu.
Fikiria hili; angalau 60% yetu tumepita katika taasisi...