Emygidius George
Member
- May 24, 2015
- 9
- 3
Mkoa gani ambao mtu anaweza kuishi ikiwa anajishughulisha na shughuli za mtandaoni na kuhitaji utulivu na gharama ndogo ya maisha maana kuna kupata pesa nyingi halafu ukajikuta yote inatumika kwa mahitaji ya kila siku kwani hapa nilipo (Dar) ni kama gharama ya maisha kila siku ni kubwa pesa nyingi inatumika.
So unaweza kuwa na uzoefu na mkoa gani ambao kwa mtu wa online business akaweza kuishi.
Mkoa wenye internet ya kasi especially TTCL na Tigo
Huduma za kibenk equity na rate ya exchange ya dollar iwe nafuu kidogo.
Shughuli zangu hazitegemei watu zaidi walionizunguka
Pia uhakika wa umeme.
Pia utulivu na uwezekano wa mtu kuwekeza na maana maisha yanabadilika unachotegemea leo kinaweza kukwama.
Gharama ya maisha (upatikanaji wa chakula kwa bei rahisi)
So unaweza kuwa na uzoefu na mkoa gani ambao kwa mtu wa online business akaweza kuishi.
Mkoa wenye internet ya kasi especially TTCL na Tigo
Huduma za kibenk equity na rate ya exchange ya dollar iwe nafuu kidogo.
Shughuli zangu hazitegemei watu zaidi walionizunguka
Pia uhakika wa umeme.
Pia utulivu na uwezekano wa mtu kuwekeza na maana maisha yanabadilika unachotegemea leo kinaweza kukwama.
Gharama ya maisha (upatikanaji wa chakula kwa bei rahisi)