madhara

Abu Ali al-Husayn ibn Ahmad al-Madhara'i, also known as Abu Zunbur ("the hornets' man"), was a member of the bureaucratic al-Madhara'i dynasty of fiscal officials, and served as director of finances of Egypt and Syria for the Abbasid Caliphate in the first decades of the 10th century.

View More On Wikipedia.org
  1. Sky Eclat

    Madhara ya ongezeko la tozo la miamala katika jamii

    Jamii zetu zinaishi kwa kutegemeana, familia ndiyo safety net ukipata matatizo. Hatuna desturi ya kutemea ustawi wa jamii tukipata matatizo. Mama mdogo akiwa mgonjwa, familia itatoa msaada wa hali na mali. Simu zimerahisisha mawasiliano. Leo hii uko Bukoba utatuma pesa ya MRI scan kwa ndugu...
  2. A

    Kuna athari gani kutumia mayai/ nyama ya kuku wa kisasa?

    KUNA ATHARI GANI KUTUMIA MAYAI/NYAMA YA KUKU WA KISASA? . Kumekuwa na imani kwamba nyama au mayai ya Kuku wa Kisasa vina madhara mwilini. Madhara ambayo yamekuwa yakitajwa sana ni pamoja na kunenepa kupita kiasi, kupungua kwa nguvu za kiume, n.k. Imani hii imekuwa ikihusishwa na dhana kwamba...
  3. Idugunde

    Rais Samia, tulikueleza mapema hawa CHADEMA sio wa kuwalegezea maana ni waganga njaa wasiojali maslahi ya taifa. Sasa mapema umeona madhara yao

    Japokuwa inaweza kuwa ni kushukuru sababu umewashtukia mapema kabla hawajapata kuchafua hali ya usalama wa nchi. Lakini Mama Samia tambua kabisa Chadema ni genge la wasaka njururu kupitia siasa. Na kama ukilegeza zaidi yale yalimkuta Jakaya mpaka akina hayati Mwangosi na yule kijana machinga...
  4. hata mimi

    Kuna madhara yoyote kula nyama ya mnyama aliyeuawa kwa sumu?

    Kuna kuku wangu hapa amekula sumu ya panya nikamkuta amelegea nikamuwahi kumchinja sasa hapa mguu nje mguu ndani kuhusu kumla. Yaani kuna akili inanijia nimuepuke wakati huo si mara ya kwanza kula nyama ya namna hiyo basi nachanganyikiwa tu. Nimeshakula nyama zilizotokana na ajali ya kugongwa...
  5. Kibosho1

    Madhara ya Covid-19: Club za Uchina bila wageni ni Utopolo FC tu

    tulizoea sana hizi timu zikivunja rekodi kwenye usajili. Baada ya hali mbaya kiuchumi kupitia makampuni ya udhamini wachezaji woooote wa kigeni wameondoka. Angalia kipigo zinavyopokea kwa sasa.
  6. boniuso

    Fahamu sababu za upweke na madhara yake

    FAHAMU SABABU ZA UPWEKE NA MADHARA YAKE Hisia za upweke huwa zinakuja pale unapohisi kuna kitu huna ili uweze kuwa na furaha Kitendo cha kutamani vitu kutoka nje yako ili uweze kuwa na furaha husababisha huzuni na hasira Unaweza kutamani kuwa na mtu karibu,kuwa na kipato kadhaa,kazi...
  7. B

    Madhara ya Awamu ya Tano yanayofumbiwa Macho

    Mabibi na mabwana awamu ya tano imepita na sasa kazi inaendelea katika awamu ya sita chini ya Rais Samia. Kwamba tupo awamu ya sita itakuwa kutojitendea haki mno kutoyaangazia kabisa madhara ya awamu ya tano kwa awamu ya sita yote chanya na hasi. Kwa uzi huu itoshe kuyaangazia madhara hasi ya...
  8. Mboka man

    Kuna madhara gani mwanaume anapochelewa kuoa?

    Kama tunavyofahamu mwanaume kuna age ikifika umri wako unaanza kuonekana umeenda haswa kuanzia age of 36,40 na kuendelea at this age bado kuna vijana hawajaoa na hata mpango wa kuoa bado kabisa. Hebu leo tuweze kushare kuna madhara gani ya mwanaume kuchelewa kuoa.
  9. Kibosho1

    Mnaopinga Katiba mpya, tupeni madhara yake na sisi tujue

    Tanzania ina viumbe wa ajabu!! ,watu wanaotazama leo yao tu na kesho haiwahusu kabisa. Ninamshangaa sana watu wanaokataa katiba mpya na kudai hii ya zamani inatosha au eti Rais Samia anatosha kwa sasa. Hajiulizi kikimtokea kilichomtokea mwendazake nani atakuwa na moyo kama wake! Mpole, mwelewa...
  10. KIMOMWEMOTORS

    Picha: Sababu na madhara ya injini kuchemsha

    SABABU ZA INJINI KUCHEMSHA na MADHARA YAKE Na Kimomwe Motors (T) Ltd- Waagizaji Magari. 1. Maji ya kawaida haswa yenye chumvi yasiyo na Coolant. Hii inaweza tengeneza kutu ambayo hua kama tope na mwisho kuziba njia za maji katika rejeta yako. 2. Kutofanya kazi kwa feni. Inawezasababishwa na...
  11. Kifaru86

    Vijana tuchukue tahadhari dhidi ya uchumba sugu na madhara yake

    Jamani, hii ni kengele ya tahadhari kwa wapenzi mlio katika mahusiano zaidi ya miaka 2 mkiwa wachumba, kibongobongo uchumba sugu umeshaliza watu wengi. Acha kujifariji unapedwa mara ohoo mahusiano yetu yamepitia Up and down my friend acha kujipa moyo ukishakaa katika mahusiano kuanzia miaka...
  12. Komeo Lachuma

    Udhaifu wa Serikali hii tutakuja ona madhara yake baadaye. Leo ni ishara ndogo mojawapo

    Serikali ina ahirisha match ya Simba na Yanga eti sababu Mwinyi anazindua kitabu. Huu ni wendawazimu. Anayetaka kuhudhuria Uzinduzi wa Mwinyi si aende na anayetaka kwenda angalia mpira si aende? Huu ndo udhaifu ambao tunaukataa miaka yote. Kuchanganya mambo binafsi ya Serikali na Wananchi...
  13. Dada Leti

    Madhara ya Serikali ya Mseto

    Nimeona wapinzani wetu wanamshangilia Rais Samia kuwaalika waingie Serikalini. Bila shaka, Mama atawateua wale wapinzani wenye majina makubwa kwa malengo fulani ya kisiasa, pamoja na kuunda umoja wa kitaifa kama anavyodai. Wasiwasi wangu ni kuwa, hawa wapinzani sijui kama wanajielewa. Sijui...
  14. Swahili AI

    Fahamu madhara ya kukaa kitako na Wallet yako ikiwa mfuko wa nyuma

    Wazee wa Pochi NENE mpo? Wavulana wengi wana tabia ya kuweka mkoba (WALLET) yenye inchi nusu au zaidi ikitegemeana na wingi wa vitu vilivyopo kwenye mkoba huo kwenye mfuko wao wa nyuma wa nyonga ambao unaweza kuleta maumivu ya mgongo, kiuno, misuli, mifupa na mbali zaidi kuleta madhara kwenye...
  15. mediaman

    Kuna madhara gani gari likikaa miezi sita bila kutumika?

    Wakuu, naomba kujua iwapo gari langu nililolipaki mahala karibia miezi sita sasa litakuwa na shida siku nikianza kuliendesha tena.
  16. Ziroseventytwo

    Nimeanguka chooni leo. Kuna madhara yoyote naweza kupata?

    Leo ahsubuhi wakati naenda kuoga nimeteleza na kuanguka kwa kishindo kikubwa nikiwa ndani chooni. Nina afya nzuri kabisa. Sina pressure, wala tatizo la moyo. Kuna dhana kwamba ukianguka chooni, unaweza kufa au kupata matatizo. Naona wife anahema sana. Kuna ukweli wowote kwenye hili? Mshana Jr
  17. K

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Punyeto ni nini? Kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi. Kwa hivyo katika kupiga punyeto hamna hofu ya kuambukizwa magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono, kwani haimshirikishi mtu mwengine. Punyeto ni toshelezo kamili la kimapenzi...
  18. J

    Madhara ya ulaji wa udongo

    - Vidonda na mikwaruzo kwenye utumbo - Kupata Minyoo - Kuhisi kushiba muda wote, hivyo husababisha mwili kukosa virutubisho - Kukosa haja kubwa au kupata haja kubwa ngumu, inaweza kupelekea kupata bawasiri - Kupata kidole tumbo 'appendix' - Kuna uwezekano wa kula sumu kwenye udongo
  19. mdalla 1

    Nini madhara ya matumizi ya ugoro?

    Ndugu wataalamu wa afya, husika na kichwa tajwa hapo juu. Kutokana na zuio la Serikali juu ya uuzaji na utumiaji wa pombe aina ya viroba hapa nchini, vijana wengi wa Kitanzania sasa wamejikita na matumizi ya ugoro. Je, nini athari na faida zake kwa ujumla?
  20. Mhafidhina

    Madhara ya kuangalia Picha/Video za Ngono kwa Wanaume na Wanawake

    Naomba kufahamu madhara yatokanayo na kuangalia picha/video za ngono kwa watu wa aina zote, Wanaume kwa Wanawake...! - Tatizo jingine la mdau wa JF. ========= MAONI NA USHAURI WA WANAJF 1. 2. 3.
Back
Top Bottom