#COVID19 Update USA: Madhara ya chanjo yaliyo waziwazi

S V Surovikin

JF-Expert Member
Aug 8, 2015
13,589
32,670
Mamlaka ya udhibiti na kuzuia magonjwa Marekani CDC imetangaza amri mpya kuwa, watu wote walio choma chanjo ya kuzuia Corona waanze tena kuvaa barakoa katika mikusanyiko ya ndani.

Amri hii inakuja miezi kadhaa tangu mamlaka hiyo ilipotoa ruksa kwa wote walio chanjwa kuto vaa barakoa.

Maamuzi ya CDC kutaka waliochanjwa kuvaa barakoa yametokana na kuongezeka kwa watu wenye maambukizi ya Corona katika miji kadhaa nchini humo ikiwemo Florida na Missouri vilevile kutokana na kuongezeka kwa ripoti ya maambukizi ya virusi hatari zaidi aina ya Delta kwa watu ambao wamekwisha pata chanjo zote mbili.

Mamlaka hiyo imeongeza kuwa kila mtu anapaswa kuvaa barakoa na kuweka msisitizo kwa Walimu, wafanyakazi, wanafunzi na wageni katika shule zote bila kujali wamechanjwa au bado.

-----
Sisi ndio kwanza tunaanza kujipiga chale na kupromoti chanjo ambazo hazijawasaidia hata waliozitengeneza 😁

Piga chanjo uzalishe virusi vipya vigumu kuliko mwanzo

Screenshot_20210729-084615.png
 
Uongozi wa jamiiforums mkiondoa hii habari mtakua mnashiriki moja kwa moja katika kuficha ukweli kwa watanzania kuwa hizi chanjo bado hazijaiva...

Ukweli ni muhimu ili watengeneza hizi chanjo warudi maabara upya
 
Hizi chanjo zina mambo sana hizi..keep wondering watu waliochomwa miaka 5 au 10 ijayo watapata madhara gani? Anyways hapa ndipo penye hekima na mwenye masikio na asikie.
Tutakuja tushuhudie mazombie mitaani 😄😄
 
Huko kwa yule kibwetere wa ufunuo kamili mbona tushatoka siku nyingi 😂😂😂😂? Eti katumwa na Mungu? Kawaambieni ndege hayo.

Sasa hivi tunasubiri wapi kina yakhe twachanjwa na lini.

Nyie nendeni Mzena.
 
Huko kwa yule kibwetere wa ufunguo kamili mbona tushatoka siku nyingi 😂😂😂😂? Eti katumwa na Mungu? Kawaambieni ndege hayo.

Sasa hivi tunasubiri wapi kina yakhe twachanjwa na lini.

Nyie nendeni Mzena.
Ifike mahali tukubali kwamba hizi chango hazisaidii sanasana zinaongeza matatizo
 
Ifike mahali tukubali kwamba hizi chango hazisaidii sanasana zinaongeza matatizo

Huko tushatoka na haturudi tena Misri:


Mmetuchelewesha sana. Si muda mrefu wasiposema lini na wapi tunachanjwa tutawabadilikia.

Ohooo! Ujinga ujinga tushachoka!
 
... mbona imekaa vizuri! Iko hivi; waliochanjwa haina maana hawawezi kuambukizwa Corona Virus; wanaambukizwa kama kawaida ila wanakuwa na kinga ya kutopata COVID-19.

Sasa kwa kuwa chanjo inawafanya kujiamini hawavai barakoa then wanageuka vector/carrier wa Corona Virus kwa wengine. Ni muhimu wavae barakoa ili kuwakinga wengine wasio na chanjo.
 
Huko tushatoka na haturudi tena Misri:


Mmetuchelewesha sana. Si muda mrefu wasiposema lini na wapi tunachanjwa tutawabadilikia.

Ohooo! Ujinga ujinga tushachoka!
Chondechonde msije kusema ni lazima maana hatutowaelewa!
 
Hili game tafu kuna wanaotaka chanjo wapo wanao pinga, Ila wanaotaka watu wachanjwe wamejipanga kisawa sawa
 
Mamlaka ya udhibiti na kuzuia magonjwa Marekani CDC imetangaza amri mpya kuwa, watu wote walio choma chanjo ya kuzuia Corona waanze tena kuvaa barakoa katika mikusanyiko ya ndani.

Amri hii inakuja miezi kadhaa tangu mamlaka hiyo ilipotoa ruksa kwa wote walio chanjwa kuto vaa barakoa.

Maamuzi ya CDC kutaka waliochanjwa kuvaa barakoa yametokana na kuongezeka kwa watu wenye maambukizi ya Corona katika miji kadhaa nchini humo ikiwemo Florida na Missouri vilevile kutokana na kuongezeka kwa ripoti ya maambukizi ya virusi hatari zaidi aina ya Delta kwa watu ambao wamekwisha pata chanjo zote mbili.

Mamlaka hiyo imeongeza kuwa kila mtu anapaswa kuvaa barakoa na kuweka msisitizo kwa Walimu, wafanyakazi, wanafunzi na wageni katika shule zote bila kujali wamechanjwa au bado.

-----
Sisi ndio kwanza tunaanza kujipiga chale na kupromoti chanjo ambazo hazijawasaidia hata waliozitengeneza 😁

Piga chanjo uzalishe virusi vipya vigumu kuliko mwanzo

View attachment 1872479
Wameziba pamba masikioni.
 
Chanjo ni hiyari kama hautaki usieneze propaganda waache wanaotaka wachanjwe!!
Na waliyoamua kuchanja waende kuchanja kwa hiari yao na sio kuona wasiotaka kuchanjwa ni wajinga na kutumia nguvu kuaminisha kuwa hizo chanjo ni salama kabisa hazina madhara hata kidogo wakati huo huo kuna form ya kuridhia kuchanjwa huku serikali ikijitoa kwa lolote litakalokupata.

Kila mtu aheshimu uamuzi wa mwenzie na sio kuanza kuonana et wasiotakakuchanja hawaamini sayansi.
 
Na waliyoamua kuchanja waende kuchanja kwa hiari yao na sio kuona wasiotaka kuchanjwa ni wajinga na kutumia nguvu kuaminisha kuwa hizo chanjo ni salama kabisa hazina madhara hata kidogo wakati huo huo kuna form ya kuridhia kuchanjwa huku serikali ikijitoa kwa lolote litakalokupata.

Kila mtu aheshimu uamuzi wa mwenzie na sio kuanza kuonana et wasiotakakuchanja hawaamini sayansi.

Kuna Chanjo/dawa ambayo haina side effects? Waulize wamama wanaopeleka watoto wadogo clinic kuchoma chanjo watakwambia baadhi ya side effects za chanjo zinazowapata watoto wao! Kila kitu kina madhara ,hata maji ukizidisha mwilini ni hatari kwa afya au yakiwa ya moto ni sumu ndani ya mwili au kwa mmea.

Form ile kujaza ni kuonyesha uhiyari wa client kukubali au kukataa kuchanja na si kweli kama ukipata side effects serikali haikuhudumii ,serikali imesema kabisa ukichoma kama utapata any side effects nenda hospital na utapata huduma bure.

Chanjo kuwa salama au kutokuwa salama mimi na wewe hatuwezi kubisha maana sio wataalamu wa madawa ,hivyo tunawasikiliza wataalam waliozipima,kama wapimaji wamesema ni salama ,mimi ni nani KANJUNJU niwabishie?
 
Back
Top Bottom