Hello.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, mara zote nikenda lodge, guest na hotelini kwenye kunyandua sijawahi kuandika jina langu halisi hasa la mwanzoni japo mara nyingi nafake majina yote mawili.
Sehemu pekee ambayo najiachia kuandika majina ya kweli aidha Kwa kupenda au kutokupenda ni Unguja...
Habari.
Nina eneo Singida-Mwaja kilometa 5 kutoka mjini kati. Natafuta mtu mwenye mtaji pesa wa kushirikiana nae tujenge lodge kwa kuanzia vyumba vitano tu. Nipo tayari kutoa umiliki wa biashara kwa makubaliano ya asilimia kulingana na gharama atakazoweka.
Ukubwa wa eneo 2129 sqm eneo...
Habari za humu wakuu?
Niende moja kwa moja kwenye hoja baada ya kuanzishwa kwa uzi wa vituko vya gesti na lodge wadau walivyokutana navyo, nimeona ni vyema kuwepo na uzi wa kuhabalishana kuhusu mahali zilipo lodge, gesti kuanzia zile za bei ya chini hadi za juu na hali yake.
Hii itatusaidi...
" imagine Imenichukua wiki 3 niweze kupanga hizi games mbili za leo mpaka zika tick ilikuwa ngumu sana. Demu mmoja akiwa free mwingine yupo tight. Yule akiwa free huyu yupo period..
Hatimaye leo zote zikatick. Nikapanga ratiba vizuri ili match zisiingiliane sababu utatumika uwanja mmoja...
Nimemsikia mtu mmoja hapa Mawasiliano daladala terminal akiongea kwenye simu na mwenzake kuwa kuna wawili hao wameonekana mitaa yenye utata na huku wakitokea madhehebu anayoabudu shuhuda, nguvu ya ya asili inaweza kuwa na influence ya kiasi hicho mpaka Mungu asahaulike!?
Jamani ama kweli Wanaume tumeumbwa mateso.
Demu kala vizuri na lodge nimelipia lakini mbususu yake amegoma kunipatia anadai hakuwa tayari na yuko kwenye siku zake.
Nimejiuliza kama hakuwa tayari kwanini anipe ruhusa ya kuandaa mazingira ya kwenda kupumzika kwa pamoja au alitaka kunikomoa...
Habari wana JF
Niliingia katika mtandao wa Badoo kwa kutumia jina na picha fake. Nika search girls between the age of 20 to 35 nearby. Akatokea dada mmoja mzuri kumbe ni mhasibu wa hapa hapa ofisini naye katumia Jina na picha fake. Tukachati tukatongozana akaingia line.
Siku nikiwa ofisin saa...
Tupo katika msimu wa baridi kali, jana nilikuwa Dodoma kikazi, nikamaliza mambo yangu muda ukiwa umesonga sana nikaona busara ni kulala ili asubuhi na mapema nianze safari kurejea mkoani kwetu.
Nilitafuta Lodge nzuri mitaa ya Makole nikafanikiwa kupata, nikajifungia ndani kwa muda nikaoga...
Ninaamini wapo wanakanyaga kwenye toilet hizi za kukaa chooni.
Somo lahusu maradhi ya ngozi, UTI nk. Wakina mama sijui wenzangu Me wawapo faraghani. Nimeshuhudia partner wangu 30 ama 45 wanafika niliOingia nao maeneo ya kuondoka stress na kupapasana.
Kama hivi ndivyo walivyo wote naaapa Ile...
Kwa wenyeji wa njombe ni Lodge gani nzuri naweza fikia pia na leta shukrani zangu kwa yule ndugu wa JF aliye nipa namba za watu wa ABC VIP class hakika ni usafiri mzuri 🙏🙏
An artistic impression of JW Marriott Masai Mara Lodge’s junior suite tent bedroom. PHOTO | COURTESY | MARIOTT INTERNATIONAL
Global hotel chain Marriott International has signed an agreement with Baraka Lodges Limited to open its first luxury safari lodge in Masai Mara, Narok County.
The JW...
REGIONAL MANAGER’S OFFICE – TANROADS KIGOMA
The Tanzania National Roads Agency (TANROADS) on behalf of the Government of the Republic of Tanzania entered into a contract for ongoing Upgrading of Nduta Jet – Kibondo Town – Kibondo – Jet (25.9 km) to Bitumen Standard.
The Regional Manager’s...
Kuna kipindi fulani nilienda Kahama kwa shughuli za kimiangaiko; kutokana na kuwa na marafiki wengi, nikaomba si vibaya kuomba 'appointment' na mwenyeji wangu mmoja anayeishi katika mji huo.
Alipofika, tukabadilishana mawazo, kula kunywa na hatimaye tukaelekea mapumzikoni.
kufika...
Polisi katika Kaunti ya Homa Bay nchini Kenya wanachunguza kifo cha Mwanaume mwenye umri wa miaka 55 ambaye amefia lodge wakati akifanya mapenzi huku chanzo kikidaiwa kuwa ni kuzidisha kiwango cha dawa za kuongeza nguvu za kiume (viagra) ili aweze kumridhisha kingono Msichana wa miaka 25 ambaye...
Wakuu habari!
Kama mnavyoiona hali ya Hewa hii, naomba nifahamishwe lodge au Hotel yoyote nzuri Dar ila iwe imejificha ficha kidogo.
Iwe maeneo ya Dar tu.
Budget yangu 50,000 to 70,000.
Ni Jumatatu tulivu tenaaa
Hivi hili katazo ambalo tunakutana nalo kwenye nyumba za kulala wageni iwe lodge, guest au hotel ya kuwa hawaruhusiwi kulala wanaume wawili limekaaje wandugu? Au limezingatia nini hasa hadi kuwekwa maana ka wengine naona sio sawa kabisa wengine tuna safari tunafikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.