kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Habari wana JF
Niliingia katika mtandao wa Badoo kwa kutumia jina na picha fake. Nika search girls between the age of 20 to 35 nearby. Akatokea dada mmoja mzuri kumbe ni mhasibu wa hapa hapa ofisini naye katumia Jina na picha fake. Tukachati tukatongozana akaingia line.
Siku nikiwa ofisin saa 4 hivi asubuhi nikachati nae nikatangulia lodge nae baada ya nusu saa akaja akagonga mlango kufungua Dah kumbe ni Mhasibu, nikala mzigo kishingo upande tukarudi ofisini.
Niliingia katika mtandao wa Badoo kwa kutumia jina na picha fake. Nika search girls between the age of 20 to 35 nearby. Akatokea dada mmoja mzuri kumbe ni mhasibu wa hapa hapa ofisini naye katumia Jina na picha fake. Tukachati tukatongozana akaingia line.
Siku nikiwa ofisin saa 4 hivi asubuhi nikachati nae nikatangulia lodge nae baada ya nusu saa akaja akagonga mlango kufungua Dah kumbe ni Mhasibu, nikala mzigo kishingo upande tukarudi ofisini.