Nayo pia inasaidia lakini ni vizuri kutumia teknolojia ya mitandao hii kupata reviews makini za members.Umeshuka stend, mshike boda boda mwqmbie hitaji lako atakusaidia... au toka kama una pandisha kwenda town, kushoto kuna kamghahawa kazuri kiasi... ingia hapo ukiwa una pata supu, basi waweza ongea hitaji lako na kusaidika...
Tumia tech unayo isema kupata taarifa... ukifanikiwa saidia wengine...Nayo pia inasaidia lakini ni vizuri kutumia teknolojia ya mitandao hii kupata reviews makini za members.
hao boda boda wanachojuaga ni kupeleka tu wateja ili wapokee chao, hata kama lodge mbaya wataisifia iko poa na si ajabu hawajawahi hata kulala hapa
Kutumia mtandao ndio vyema zaidi ! Boda hawajui chochote khs ubora lodge au hotel,,,, yeye anajua jina tu, atapasifia pazuri akupeleke umpe chake apite hivi,, huduma zinazopatikana humo ndan Wala haelewiTafuta boda boda yeyeto wao ndio wanajua KILA kitu kuhusu eneo husika kuanzia lodge nzuri, nk
Kwani lodge zote zipo registered online.Kutumia mtandao ndio vyema zaidi ! Boda hawajui chochote khs ubora lodge au hotel,,,, yeye anajua jina tu, atapasifia pazuri akupeleke umpe chake apite hivi,, huduma zinazopatikana humo ndan Wala haelewi