loan

  1. F

    Wanaotoka JKT wapewa muda kuomba mikopo ya elimu ya juu

    Kwa wenye madogo wanaomalizia msoto wakujitakia ndani ya JKT, Bodi imewaongezea siku 10 kuanzia tar 20 hadi 30 ili waweze kuomba mikopo ya elimu ya juu.
  2. H

    Msaada: Waliowahi kufanya written Interview Access Bank Microfinance position ya Recovery Loan Officer (RLO) naombeni muongozo

    Habari wakuu..! Aliyewahi fanya usahili wa kuandika pale Access Bank Microfinnce naombeni muongozo tafadhali. Asanteni:
  3. M

    Nafasi 35 za Kazi at Tujijenge Tanzania – Loan Officer

    Job Positions 35 Loan Officer at Tujijenge Tanzania. Tujijenge Tanzania’s mission is to improve the quality of life for families in Tanzania through the provision of microfinance. We are a microfinance organisation, offering products through group and individual lending, targeting micro and...
  4. Kiume3000

    Kwa tunaokatwa deni HESLB, ujumbe wa "It seemed you have requidated loan" una maana gani?

    Baada ya tangazo la kuondoa retention fee na tuseme tu haya ndio matokeo ya Rais mpya halafu eti wananchi wanalalamika yule ameondoka wanateseka kumbe Kuna walioibiwa miaka na miaka. Wajuzi wa haya mambo, unayo hiyo statement na unaendelea kukatwa Deni. Ina maana ipi.
  5. Suley2019

    IMF: Tanzania lazima iweke wazi takwimu za COVID-19 ili ipate msaada wa dharura

    Tanzania inahitaji kuweka wazi data ya ueneaji kwa Covid-19 kabla ya kupata idhini ya mkopo wa dharura wa Dola 574 milioni kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa. Maamuzi hayo yanatokana hali ya kutojulikana kwa takwimu halisi za ugonjwa huo tangu Serikali ilipoacha kuziweka wazi Mei mwaka 2020...
  6. Ushimen

    ASA Microfinance (Tanzania) Limited Jobs, March 2021- Loan Officers (LO’s)- (100 Posts)

    JOB TITLE: Loan Officers (LO’s)- (100 Posts) Job Responsibilities: ● To build and maintain a substantial and high-quality loan portfolio. ● To conduct members recruitment and screening. ● To orient clients to the particular loan products and services. ● To make groups in all working days in a...
  7. The Palm Tree

    Loan Calculator ya HESLB ina kasoro gani? Huyu mnufaika Loan Board anadaiwa mkopo wa karibu Bilioni 48!

    Hebu kila mtu atazame kwa umakini Risiti ya Mshahara (Salary Slip) ya mtumishi huyu (Mwalimu) aliyesoma kwa pesa za bodi ya mikopo - HESLB... Ni mjadala unaoendelea ktk group moja la WhatsApp huko na hiki ni kilio cha mwalimu huyu ambaye sasa yuko very frustrated na hajui afanyeje ku - overturn...
  8. kidadari

    Nimeshindwa kuelewa formula ya mahesabu ya mikopo ya benki hii

    Nimeenda benki fulani kwa uhitaji wa mkopo wa 8.4m wakanimbia riba 18%. Baada ya kupewa makato yakawa 195,820 kwa mwezi kwa miaka 6. Sasa nawauliza mbona kiuhalisia sio 18% kama wanavyotuambia kwenye matangazo yao? Wanajibu kwa mujibu wa calculator yao ipo sahihi, hapa ina maana mpaka...
  9. Wacha1

    Malagarasi Hydropower Project - Loan Approved

    Tanzania: African Development Bank approves $120 million loan to build Malagarasi Hydropower Project The hydropower plant’s expected average annual output of 181 GWh will meet the electricity needs of as many as 133,649 Kigoma households ABIDJAN, Ivory Coast, November 26, 2020/APO Group/ --...
  10. muzi

    Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu kilema cha maisha kwa vijana wa Tanzania

    FAHAMU KIDOGO KUHUSU LOAN BOARD NDUGU! Bodi ya Mikopo imewanufaisha watanzania wengi sana ikiwa ni pamoja na kuwajengea watanzania misingi ya kielimu kwa ajili ya future katika maisha yao. Aidha, Asilimia 80 ya wanufaika wa mikopo ya bodi ni wale kina KAYUMBA, yaani watoto wa maskini. Sheria...
  11. muzi

    Unyonyaji wa Bodi ya Mikopo (Higher Education Student's Loan Board)

    Inasikitisha sana bodi iliyopewa dhamana kuwezesha kupata elimu inavyobadilika na kuwa sehemu ya kuwanyonya watoto wa msikini. Ukiangalia statement ya marejesho unatakiwa kulipa administration fee, penalty na value retention fee. Inashangaza sana hayo makato ukifikiria mtu kamaliza chuo...
  12. Trubarg

    Loan department kwenye benki nyingi hawana privacy

    Unakuta watu wamepanga foleni kusubiri kuingia hizo wanazoziita ofisi za mikopo..so kila atakayeingia bank atakusoma kwamba unaenda kutafuta mkopo...wengine wameweka desk hapo hapo karibu na tellers, kila unachoongea wateja wengine wanasikia.. Sasa why mnashindwa watunzia privacy ya wateja kiasi...
  13. mtwa mkulu

    Loan Board naombeni msinizungushe, shughulikieni tatizo langu

    Wakuu jana nilibaini kuwa mdogo wangu kijijini katika application ya mkopo cheti cha kuzaliwa kilichoambatanishwa hakikuwa kile kilicho thibitishwa. Nilituma Dar es Salaam haraka cheti kilicho hakikiwa na Rita na kuomba mtu akipeleke HESLB, amepeleka wakasema eti ni lazima aliyetuma maombi...
  14. Rufiji

    Renegotiate SGR loan terms to avoid default, House tells Kenyan Treasury

    Kenyan law makers want the government to renegotiate the loan agreements signed with China for the Standard Gauge Railway (SGR) whose viability has come into question despite injection of billions of dollars into the project. The EastAfrican has learnt that the National Treasury is seeking a...
  15. The Assassin

    Benki ya Dunia yachelewesha tena kuipa Tanzania mkopo wa Dola 500M

    Bank ya Dunia imeahirisha kupiga kura ya kuikopesha Tanzania mkopo wenye masharti nafuu wa Dola za kimarekani milioni 500 sawa na shilingi trillioni 1.3 za kitanzania kwa ajili ya kufadhili elimu. Kama mnakumbuka Benki ya Dunia ilikuwa ipige kura wiki hii kuamua kama iikopeshe Tanzania au la...
  16. Jamii Opportunities

    Loan Officer/ Credit Officer at Wezesha Mzawa Microfinance

    Position: Loan Officer/ Credit Officer We are seeking a motivated, experienced Loan Officer/ Credit Officer to join our growing company. In this position, you will evaluate and approve or deny loan applications. You will act as liaison between financial institutions, individuals, and...
  17. Goodluckmkali

    Sasa unaweza kopa hadi shilingi milioni moja za kitanzania kupitia simu yako janja ya mkononi

    Sasa unaweza kopa hadi shilingi milioni moja za kitanzania kupitia simu yako janja ya mkononi na kurejesha kidogokidogo mahali popote na wakati wowote. Ili kupata mkopo inabidi uwe na vitu vifuatavyo:- (a)uwe na kitambulisho, eidha cha kupigia kura, cha taifa au leseni ya udereva. (b)laini ya...
Back
Top Bottom