Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,260
- 6,908
Unakuta watu wamepanga foleni kusubiri kuingia hizo wanazoziita ofisi za mikopo..so kila atakayeingia bank atakusoma kwamba unaenda kutafuta mkopo...wengine wameweka desk hapo hapo karibu na tellers, kila unachoongea wateja wengine wanasikia.. Sasa why mnashindwa watunzia privacy ya wateja kiasi Hiki... Mnazingua Sana nyie mabank