life

  1. Alvin A.

    Westlife, NSYNC na Backstreet Boys

    Kuna haya makundi yalichuana saana kwa sababu aina ya uimbaji wao ulifanana. Waliuteka sana ulimwengu wa muziki hasa wadada ndo walipenda sana nyimbo japo na wanaume na tulikuwepo kuwasindikiza Kundi gani lilikubamba na kwanini? NSYNC walitamba na ngoma nyingi ila huu wa THIS I PROMISE YOU...
  2. A

    Wewe sio mtu wa kufeli siku zote, ni kipindi cha kupita tu

    Bila kujali kiwango cha Elimu yako, mali na pesa zako au idadi ya watu wanaokuzunguka. Kuna nyakati unaweza kuzipitia na kujiona wewe ni mtu wa kufeli zaidi kuliko wote duniani. Sio wewe pekee, bali kila mtu unaemuona, anaweza kupita katika nyakati hizo pia; Na katika uhalisia, asilimia kubwa ya...
Back
Top Bottom