BINTI; SIO LAZIMA MAMA MKWE AKUPENDE.
anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Wakati nampeleka Mchumba wangu nyumbani kwa mara ya kwanza. Tukiwa Dodoma nilimwona akiwa katika hali ya hofu na wasiwasi.
Alikuwa ni binti mdogo, ndio kwanza chuo mwaka wa pili, hukuwahi kupelekwa ukweni.
Nimdodosa...