kutoka

Kutoka Interactive was an educational software company founded in Montreal, Quebec, in 1995. The company produced, developed, and distributed both subject-based and grade-based video games for Windows and Macintosh from 1996 to 2017. They were most famous for their Mia games.

View More On Wikipedia.org
  1. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Tume ya Uchunguzi: Kutoka Ghasia Hadi Maridhiano

    Kutokana na ushahidi wa kina, Tume ilibaini kuwa ghasia zilikuwa na athari pana za kiuchumi na kijamii. Matokeo yalisisitiza haja ya kuimarisha mifumo ya majadiliano ya kisiasa na kijamii. Ushirikishwaji wa wadau mbalimbali uliwezesha hitimisho thabiti kuhusu vichocheo na madhara. Hii ilifanya...
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mombasa Floods: Watu 390 wahama, Wawili kutoka Tanzania waokolewa Baharini

    Mvua kubwa zimeendelea kupiga Mombasa for the last three days, zikisababisha mafuriko makubwa across all six sub-counties including Changamwe, Jomvu, Kisauni, Likoni, Mvita na Nyali. Situation imekuwa mbaya kiasi kwamba takriban watu 390 wamelazimika kuhama makazi yao, especially maeneo ya Jomvu...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi Juu ya Uhamisho kutoka Halmashaur kwenda Taasisi za Elimu za Juu

    Habari ? Naomba kuuliza kwa wenye uzoefu na michakato ya Kuhama kupitia Uhamisho_ Mfano Mtu anaeomba kuhama kutoka halmashauri 'z' kwenda taasisi za elimu ya juu mfano Udom, Udsm,Mwalimu Nyerere,Cbe,Mzumbe,Ardhi, Isw, n.k baada ya barua yake kupitishwa na mwajiri wake kwenda taasisi husika_ Je...
  4. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kutoka Kampuni ya VIWANJA TANZANIA posta Dsm natoa mrejesho hapa

    Leo nilikuwa Ofisi ya wauzaji wa viwanja kampuni ya " VIWANJA TANZANIA " posta mpya Mtaa wa Ohio, Nyumba ya Maarifa, ground floor. Jirani na IT Plaza, inatazamana na ATCL. unaweza kuwachek wanaviwanja sehemu mbali mbali ndani na nje ya Dsm viwanja vya biashara viwanja vya makazi sea view...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Kuna ushauri ninauomba kutoka kwa baadhi ya watu wenye busara

    Mimi nipo mkoa Y, na Kuna mwanamke X ninampenda sana. Nimefanya sehemu yangu kumuelezea jinsi ninavyompenda na akakubali. Baada ya hapo nae niliona ameanza kunielewa akawa ananitafuta kila mara kunisalimia nami nikawa najituma kwake kwa namna fulani Lakini huyu mwanamke X baada ya muda mrefu...
  6. Ritz

    JamiiForums Tanzania Trump: sihitaji msaada kutoka kwa mtu yeyote, nchi za NATO zinanipigia simu kutoa msaada" Ulaya wamekanusha

    Wanaukumbi. BREAKING: TRUMP IMEFICHUKA 🔥 🇺🇸 Trump –– "Sasa wakati sihitaji msaada kutoka kwa mtu yeyote, nchi za NATO zinanipigia simu kutoa msaada" Ukweli wa Kufurahisha: 🇮🇹 Italia ilikubali haikumpigia Trump simu ya msaada 🇬🇧 Uingereza ilikubali haikumpigia Trump simu ya msaada 🇪🇸...
  7. Red black

    JamiiForums Tanzania Bangi inaweza kukufanya ukumbuke vitu ambavyo haijawahi kutokea kabisa. Unajiona uko New York kumbe uko Kigoma ndani ndani

    unajiona tajiri una majumbu kila city kumbe ni hallucinations inayosababishwa na shada/bangi Cc Vincenzo Jr
  8. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Vijana tujifunze kutoka kwa huyu mwenzetu

    https://vt.tiktok.com/ZSH7Bamqd/
  9. radhiya

    JamiiForums Tanzania Khanga kubwa kutoka Zanzibar zinapatikana

    Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana. Zimebaki pc 7. Bei ya Khanga: sh 20,000/= Bei ya Jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga tatu. Tunapatikana tabata kinyerezi/Msasani (Biashara ni ya Mtandaoni), tunafanya delivery. Mkoani tunatuma kwa gharama za mteja. Delivery unalipia sh 2,000/= tu...
  10. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Voyager i ndo chombo kilicho mbali zaidi na dunia, kimebaba picha na ujumbe kutoka Duniani. NASA waliamini sikumoja labda kitapatikana na alliens

    Chombo cha anga cha Voyager 1 ni moja ya mafanikio makubwa zaidi ya binadamu katika historia ya sayansi. Hiki ndicho chombo kilicho mbali zaidi na Dunia kuliko chochote ambacho binadamu amewahi kutuma angani. Kilirushwa mwaka 1977 na NASA, kikiwa na lengo la kuchunguza sayari kubwa kama Jupiter...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Diaspora ni kutoka nchi za Magharibi tu?

    Sijawahi kusikia watz waliochukua uraia wa Sauth Afrika, Korea Kusini, Japan, China wakilalamika na wakiandama iki watambulike. Wengi wanaojitambulisha kama Dispora ni kutoka nchi za Magharibi Maandamano yote dhidi ya tz ni kutoka Germany, UK, USA, Canada. Kwanini?
  12. T

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeelewa ni kwa nini watu kutoka upinzani wakihamia CCM wanapewa vyeo haraka sana tena vikubwa!

    Wanabodi kumekuwa na utaratibu licha ya ccm kujigamba kwamba Ina rasilimali watu ya kutosha lakini inaonekana watu smart sana wanapatikana upinzani. Mwanzo nilijua tu kuwa labda ni kivutio cha kuwashawishi wapinzani wengi kuhamia huko ila baada ya kuona jinsi mashabiki wa ccm wanavyojenga hoja...
  13. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Unawezaje kununua/kuimport pikipiki used kutoka China?

    Magari used China hayajawa soko zuri Tanzania kwasababu mengi ni LHD, ivyo ni wabishi tu wataweza kuendesha kwenye nchi yenye RHD. Sasa China wako vizuri kwenye pikipiki, tena kwa bei nafuu. Zama za kukomaa na Japan zimepita. Bei kubwa Pikipiki ya 2010. Nimekua nikifuatilia hawa jamaa na...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Bila kuondolewa kwa nguvu ya umma, Kiongozi anayedharau wananchi hawezi kutoka madarakani

    Yaani anafanya anavyotaka. Anateua watoto wake. Na ikibidi anakuwa anatembea nao kama alivyokuwa akifanya Idi Amin. Anateua mashoga zake hata kama ni majambazi. Duniani kote kiongozi kama huyu lazima aondolewe kwa nguvu za umma. Mifano mizuri ni ule wa Misri na Tunisia 2010 na 2011...
  15. H

    JamiiForums Tanzania Heri ya Sikukuu ya Pasaka kutoka Kwa Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba

    Heri ya Sikukuu ya Pasaka Ninaungana na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuwatakia Watanzania wote Pasaka njema yenye furaha na baraka tele. Tunapoadhimisha ufufuko wa Bwana Yesu Kristo, na tuendelee kuenzi mafundisho ya upendo, mshikamano na...
  16. H

    JamiiForums Tanzania Salamu za Heri ya Pasaka kutoka kwa Waziri Mwigulu Lameck Nchemba

    Salamu za Heri ya Pasaka kutoka kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba.
  17. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Picha ya Dunia yenye high resolution kutoka space imepigwa na Artemis II!

    Picha mpya ya Dunia imepigwa kutoka Artemis II.
  18. H

    JamiiForums Tanzania Uongozi ni kusikiliza: Somo kwa Dkt. Mwigulu Nchemba

    UONGOZI NI KUSIKILIZA: SOMO KUTOKA KWA DKT. MWIGULU NCHEMBA Katika siasa na utumishi wa umma, nguvu ya kiongozi mara nyingi hupimwa kwa uwezo wa kuzungumza na kuamua. Hata hivyo, kipimo cha juu zaidi ni uwezo wa kusikiliza ambacho mara nyingi hupuuzwa. Katika mazingira ya maombolezo, Waziri...
  19. LOOOK

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa wataalam wa EV conversion kuchangamkia fursa kwa sasa ili kubadili mfumo wa uendeshaji gari kutoka petrol kwenda umeme

    Hilo linawezekana ingawa kuna gharama ila inawezekana kabisa kwa gari nyingi zilizopo hapa tanzania kubadilishwa mfumo ila lazima fundibawe mjuzi sana wanhizi mambo
  20. JaxenDL

    JamiiForums Tanzania Iko wapi zawadi kutoka mwezini tulipewa na rais Richard Nixon

    Baada ya misheni ya kwanza ya Apollo 11 kufanikiwa, Rais Richard Nixon alituma zawadi kwa mataifa 135 duniani, ikiwemo Tanzania. Zawadi hii ilijumuisha: Chembe nne ndogo za mchanga wa mwezi (zenye ukubwa wa punje za mchele) zilizowekwa ndani ya tufe la plastiki, Bendera ndogo ya Tanzania ambayo...
Back
Top Bottom