Shalom!
CCM haitaanguka yenyewe,
Bila kusaidiwa kuanguka. Tusipowasaidia, wataendelea kutawala.
Na kwa uzoefu tulionao, hawajali watu wanawaza nini ili washinde.
Watafanya watakacho ili waendelee kushika dola.
Walivyoweza kujipanga kwa nguvu baada ya sakata la Lowassa mwaka 2015, tulipaswa...