Rafiki yangu ameachwa na Mwanamke aliyepanga kujitambulisha kwao na kumuoa

mazaga one

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
2,463
3,932
Huyu ni rafiki yangu Nimesoma nae chuo, hivi majuzi kaniambia ya kuwa Mchumba wake aliyepo masomoni Chuo fulani Alimwambia Anataka akajitambulishe Ili awe mke wake mtarajiwa Rasmi. Lakini Bidada ghafla na wakati huo huo akamtumia Rariki yangu Ujumbe huu ufuatao...

"Am sorry Dear I know una nia njema kabisa na mimi lkn siku zote ukweli umuweka mtu huru nimekua mjinga nashindwa kukwambia ukwel kwamba nipo kwenye mahusiano lkn naona nnachokifany ndio naharibu zaid nakua mtumwa me nipo kwenye mahusiano aisee
Am sorry najua nimekupotezea muda lkn kiukwel hali halis ndio ipo ivo"🤦‍♀️

Jamaa yangu anaomba Ushauri yakinifu. Mimi kama mdau wa JF nikasema nilete humu ndani na Ushauri wenu nitamuonyesha piaa...
 

kupunguza maelezo, Mpe hiyo link
 
nakwambia hivi


katow sadaka nusu ya mali zako ushukuru Mungu umeambiwa peupe.

wenzio tumewekwa rumande ndio tunashuhudia michepuko hadi watoto juu shukuru sana coz huhaingia rumande bado.


NB:usirudie kutafta msaada kwa njia ya kusema rafiki yangu utakosa mwongozo.
maana kuna watu km Smart911 , hawakawii kukwambia mambo yao waachie wao.
 
Hakuna kinachoweza kusaidika hapa zaidi ya wewe kutupa namba ya simu ya huyo dada tuongee nae tumsisitize kuwa jamaa anampenda sana asimuache.

Otherwise, hatuna access yoyote kusema kweli na kama hutaki kutupa hiyo namba basi msaada wetu ni kukutuma wewe kamwambie mshkaji wako akubali matokeo asonge mbele na atafute mwanamke mwingine
 
nakwambia hivi


katow sadaka nusu ya mali zako ushukuru Mungu umeambiwa peupe.

wenzio tumewekwa rumande ndio tunashuhudia michepuko hadi watoto juu shukuru sana coz huhaingia rumande bado.


NB:usirudie kutafta msaada kwa njia ya kusema rafiki yangu utakosa mwongozo.
maana kuna watu km Smart911 , hawakawii kukwambia mambo yao waachie wao.
Watu wazima hujiongeza kaka hahahahaha....Asante Kwa ushauri
 
Miaka 12 mahusiano yamedumu aisee Wanawake
Hakuna kinachoweza kusaidika hapa zaidi ya wewe kutupa namba ya simu ya huyo dada tuongee nae tumsisitize kuwa jamaa anampenda sana asimuache.

Otherwise, hatuna access yoyote kusema kweli na kama hutaki kutupa hiyo namba basi msaada wetu ni kukutuma wewe kamwambie mshkaji wako akubali matokeo asonge mbele na atafute mwanamke mwingine
 

Similar Discussions

22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom