sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Bamkubwa wangu aliweza kumsomesha ndugu yake aliekuja nyumbani kwake kutoka kijijini, aliweza kumsomesha form 1 hadi chuo na kumtaftia kazi.
kijana huyo aliweza kupokelewa vizuri na kuwa sehemu ya familia, yani kuanzia bamkubwa, mke wake, watoto wao watano na wengine kwenye nyumba waliishi nae vizuri sana, walikiwa marafiki sana na mtoto mojawapo wa kiume wa bamkubwa, walisoma shule moja form 1 hadi form 6 kasoro chuoni, walikuwa mabesti sana.
sasa baada ya kumaliza chuo bamkubwa alimtaftia connection ya kazi huyo ndugu sambamba na mtoto wake, ni kazi walifanya kama miaka miwili hivi huku urafiki ukiwa safi tu, kipindi hiki bamkubwa aliwapa wote nyumba za kuishi sababu bamkubwa huwa anajenga nyumba na kuzikodisha.
sasa ikatokea ile kazi ikaisha, bamkubea akampigia connection yule ndugu yake kupata kazi shirika flan la serikali kile kipindi cha Kikwete 2015 kazi za connection, alikuwa anavuta 1.8 milion baada ya makato kila mwezi na posho si haba, kwa sasa kapandishwa daraja mshahara utakuwa mkubwa zaidi.
Kwa huyu mtoto wa bamkubwa akasema yeye ajira hataki, alianza biashara kwa kusua sua kwa miaka ile miwili ila akawa mzoefu na comnection za mzee zikamsaidia, 2019 niliweza kujiridhisha kwenye vitabu vyake na financial statements anapata faida ya milioni 30 kila mwezi baada ya kulipa mishahara, kodi na matumizi mengine, kwa sasa sijaweza kuona vitabu vyake ila sina shaka itakuwa hata 60, kwakweli biashara yake imepanuka sana na hata wafanyakazi mishahara wameongezewa si kama zamani.
kilichotokea ni kwamba tangu mwaka 2017 huyo ndugu hataki kabisa mawasiliano, hata kwenye misiba haonekani wala sherehe, kwa sasa yupo zaidi na ndugu zake wale wa kijijini.
Yeye bamkubwa alishasema hakusaidia kungoja shukrani ama kunyenyekewa, anapenda mtu awe huru, watoto nao kawaasa sana wasimjengee chuki yoyote wala kumzungumzia vibaya na ndio maana hata kwenye sherehe bado wanamualika (lakini haji)
kijana huyo aliweza kupokelewa vizuri na kuwa sehemu ya familia, yani kuanzia bamkubwa, mke wake, watoto wao watano na wengine kwenye nyumba waliishi nae vizuri sana, walikiwa marafiki sana na mtoto mojawapo wa kiume wa bamkubwa, walisoma shule moja form 1 hadi form 6 kasoro chuoni, walikuwa mabesti sana.
sasa baada ya kumaliza chuo bamkubwa alimtaftia connection ya kazi huyo ndugu sambamba na mtoto wake, ni kazi walifanya kama miaka miwili hivi huku urafiki ukiwa safi tu, kipindi hiki bamkubwa aliwapa wote nyumba za kuishi sababu bamkubwa huwa anajenga nyumba na kuzikodisha.
sasa ikatokea ile kazi ikaisha, bamkubea akampigia connection yule ndugu yake kupata kazi shirika flan la serikali kile kipindi cha Kikwete 2015 kazi za connection, alikuwa anavuta 1.8 milion baada ya makato kila mwezi na posho si haba, kwa sasa kapandishwa daraja mshahara utakuwa mkubwa zaidi.
Kwa huyu mtoto wa bamkubwa akasema yeye ajira hataki, alianza biashara kwa kusua sua kwa miaka ile miwili ila akawa mzoefu na comnection za mzee zikamsaidia, 2019 niliweza kujiridhisha kwenye vitabu vyake na financial statements anapata faida ya milioni 30 kila mwezi baada ya kulipa mishahara, kodi na matumizi mengine, kwa sasa sijaweza kuona vitabu vyake ila sina shaka itakuwa hata 60, kwakweli biashara yake imepanuka sana na hata wafanyakazi mishahara wameongezewa si kama zamani.
kilichotokea ni kwamba tangu mwaka 2017 huyo ndugu hataki kabisa mawasiliano, hata kwenye misiba haonekani wala sherehe, kwa sasa yupo zaidi na ndugu zake wale wa kijijini.
Yeye bamkubwa alishasema hakusaidia kungoja shukrani ama kunyenyekewa, anapenda mtu awe huru, watoto nao kawaasa sana wasimjengee chuki yoyote wala kumzungumzia vibaya na ndio maana hata kwenye sherehe bado wanamualika (lakini haji)