Habari za Leo wakuu,
Kijana wenu naomba kuuliza mwenye kujua chochote kuhusu chuo Cha Afya Kolandoto kwenye upande wa utoaji maarifa.
Maana kijana wangu anataka kwenda, Kusomea diploma ya radiology katika taasisi hiyo,
Je, chuo hicho kina uwezo mzuri katika utoaji wa kozi hiyo?
Japo nasikia...