Wakuu,
Tukajitolee kujenga taifa jamani:Alien::Alien::Alien:
----------
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, amewahimiza vijana wa Kitanzania wenye sifa kujitokeza kujiunga na nafasi za kundi la kujitolea.
Mpango huu unalenga kuwajengea vijana uzalendo, umoja wa...