Nashukuru Kwa ushauri mzuriSio lazima ni hiari
Sio wahitimu wote wanapangiwa kambi za kwenda.
Kama hujapangiwa na unataka kwenda hakikisha tarehe ya kuwasili unaenda kambi yoyote wanayopokea kwa mujibu waambie mimi ni mhitimu sijapangiwa lakini nataka kujiunga nanyi.
Nenda na vifaa vyako kabisa sababu hawawezi kukurudisha nyumbani.
Malengo ya JTK hayajaonekana Kama CCM walivotaka.Hivi malengo ya kujiunga jkt yanaonekana, !? Au Ni just Tu kuweka mwili fit?
Mafisadi hawakupita jkt?
Au ufisadi Na wizi WA rasilimali Za Umma hauna mahusiano Na mzalendo?
Walioandamana 29 hawakuwahi kwenda jkt?
Mnisamehe jamani Nina hangover 😞😞