Wadau , nimekuwa nikisumbuliwa Sana na ndoto za ajabu Sana mpaka nikiamka naziwaza Sana nashindwa kuelewa Zina maana gani
Baadhi ya ndoto zimekuwa zikijirudia Sana na baadhi zimekuwa halisi katika maisha yangu
Mfano niliota nafukuzwa kazi na nikafukuzwa kweli bila kosa lolote ,
Baada ya kuoa...