Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,486
- 34,789
Katika pita pita zangu nikakutana na taarifa ya kuwa watu wa nne wamefariki na wengine 40 kulazwa hospitalini baada ya Kula samaki Aina ya Kasa huko Tanzania visiwani ..
Na hii inakuja baada ya takriban mwez mmoja watu Saba kufa na wengine kadhaa kulazwa baada ya Kula samaki huyo huyo aitwaye kasa
Kwa wenye uelewa huyu samaki ana sumu ya aina gani?
Na kwanini watu wanaendelea kumla ilhali madhara yake yanaonekana pindi unapomla? Au ni mtamu sana kias kwamba wanazengo they don't care kuhusu sumu yake?
Na hii inakuja baada ya takriban mwez mmoja watu Saba kufa na wengine kadhaa kulazwa baada ya Kula samaki huyo huyo aitwaye kasa
Kwa wenye uelewa huyu samaki ana sumu ya aina gani?
Na kwanini watu wanaendelea kumla ilhali madhara yake yanaonekana pindi unapomla? Au ni mtamu sana kias kwamba wanazengo they don't care kuhusu sumu yake?