mbuyake
Senior Member
- Feb 20, 2013
- 190
- 236
Kuna mafundisho mengi tunayapata kuwa ili ufanikiwe watu wanaokuzunguka lazima wawe na mchango mkubwa wa kukupa mtazamo chanya juu ya jambo unaloelekea kulifanya au unalolifanya.
Hapa nazungumzia mchango wa kimawazo na hata kama ikiwezekana kifedha, na inashauriwa kama hao watu wako wa karibu ukiwaona ni kikwazo kufikia malengo yako basi kama kuna ulazima wa kuachana nao fanya hivyo.
Swali langu ni hivi: mke wako ni sehemu ya watu wa karibu wanaokuzunguka na ni muhimu kwa mwanaume ili afanikiwe juwa kuna mchango wa mke, sasa kama mke unamwona ndo kikwazo chako cha kufikia matarajio nae utaachana nae kama utavyofanya kwa watu wengine wako wa karibu?
Hapa nazungumzia mchango wa kimawazo na hata kama ikiwezekana kifedha, na inashauriwa kama hao watu wako wa karibu ukiwaona ni kikwazo kufikia malengo yako basi kama kuna ulazima wa kuachana nao fanya hivyo.
Swali langu ni hivi: mke wako ni sehemu ya watu wa karibu wanaokuzunguka na ni muhimu kwa mwanaume ili afanikiwe juwa kuna mchango wa mke, sasa kama mke unamwona ndo kikwazo chako cha kufikia matarajio nae utaachana nae kama utavyofanya kwa watu wengine wako wa karibu?