Yani mtu unakula usiku kucha kama mchwa, kula masaa mengi kukaa na njaa masaa machache.
Mtu unakandamiza nguna alfajiri, unashiba ngaaa! Unalala unaamka bado umeshiba, jioni tena unashindilia.
Yani wakati wa Ramadhani mtu anakula sana zaidi ya mara 3 ya siku za kawaida sasa ndio nini hiyo...