goodhearted
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 1,047
- 1,339
Nani mwingine aliona hio kitu
Umeiona lakini?😂 Chezea TFF ww 😂
Sifuatiliagi mpira wa bongoUmeiona lakini?
Zako ni majuu tu mwananguSifuatiliagi mpira wa bongo
Ndio, Nadhani n maamuzi tuu.Zako ni majuu tu mwanangu
Hongera sanaSifuatiliagi mpira wa bongo
HongeraNdio, Nadhani n maamuzi tuu.
umejuaje kuwa kuna TFF?Sifuatiliagi mpira wa bongo
Rais wa USA anaitwa Trump, kwan Niliwah kuishi USA?Ila
umejuaje kuwa kuna TFF?
Tangu lini Azam imeanza kutumika kisiasa? Acha us.nge
Wewe unafuatilia Jua kali na Muuza MajiSifuatiliagi mpira wa bongo
Huo ndo upuuzi kabisa, bora nikapunge upepo beach usikuWewe unafuatilia Jua kali na Muuza Maji
Mimi niliacha kufuatilia msimu toka uliopita....tena sijui mwaka huu una afadhali, mwaka jana hali ilikuwa mbaya zaidi.......Sifuatiliagi mpira wa bongo
Umejuaje msimu huu afadhali wakati uliacha kufuatiliaMimi niliacha kufuatilia msimu toka uliopita....tena sijui mwaka huu una afadhali, mwaka jana hali ilikuwa mbaya zaidi.......
Siku hizi ligi zote za ulaya dakika za majeruhi muda ni uniform kati ya dk 6-9 hapo....
Una wachezaji waliosajiriwa kwa gharama kubwa, mishahara na motisha nono, halafu bado wasaidiwe kushinda na refa kwa timu ndogo kama Pamba!
Tuna mambo ya kihuni sana.