Toka Freeman Mbowe atoke jela/ gerezani, ameshakutana na Rais Samia mara kadhaa sasa.
Bado sijui na sielewi kwa nini hasa wamekuwa wakikutana kutana.
Ni kweli kuwa Mbowe alikamatwa na kufungwa kimakosa.
Mtu yeyote aliye na chembe ya akili kwenye ubongo wake analijua hilo.
Kwenye nchi...