Unaacha swala ya Alfajiri unaangalia kombe la dunia

Unaacha swala ya Alfajiri unaangalia kombe la dunia

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
9,315
Reaction score
14,283
Baadhi ya waislam wanaacha swala ya Alfajiri na kukaa ktk TV kuangalia kombe la Dunia. Hili ni kosa kubwa kwa muislam tena dhambi kubwa.

Quran unasema:
"Hakika Swala imefaradhishwa kwa Waumini kwa nyakati maalumu." (Surah An-Nisa 4:103)
Na pia:

"Ole wao wanaoswali, ambao wameghafilika na Swala zao." (Surah Al-Ma'un 107:4–5)
 
Baadhi ya waislam wanaacha swala ya Alfajir na kukaa ktk TV kuangalia kombe la Dunia. Hili ni kosa kubwa kwa muislam tena dhambi kubwa.
Quran unasema:
"Hakika Swala imefaradhishwa kwa Waumini kwa nyakati maalumu." (Surah An-Nisa 4:103)
Na pia:
"Ole wao wanaoswali, ambao wameghafilika na Swala zao." (Surah Al-Ma'un 107:4–5)
It's just matter of priorities, wewe sio mungu wao wa kuwahukumu
 
Bora kuangalia kombe la dunia kuliko kukimbilia swala, ibada ya sanamu. Swala kaswali wewe mwenye kuamini hivyo
 
Back
Top Bottom